Happy Fathers' Day 2023

Happy Fathers' Day 2023

IMG-20230618-WA0000.jpg
 
Mabinti mna roho mbaya Sana humu, hata kuja kuwapongeza baba zenu😠😠 hata Kama mlikaa tumboni kwa mama zenu,aliewaweka Nani🤣🤣 baba zenu wameliwa chips zso Sana,vidari vinene vya kuku🤣🤣mpaka mama zenu kukubali kuvua nguo zote tano kwa baba zenu,😋😋 mnadhani kazi ndogo😳😳 mbaya zaidi baba ndiyo anaamua mtoto gani azaliwe ,maana ndo ana mbegu x na y kisayansi.

Mnasubiri wafe ndo RIP my dady. Hizo hazisaidii, msidanganywe na mama zenu kwamba baba zenu hawakuwasaidia.
Matatizo yao nakutokuelewana kwao wewe hakukuhusu.
Ushauri wangu Kama BROTHER wenu mabinti.
 
Back
Top Bottom