30% of men who ask for a parternity test,finds out the child is not theirs.¤¤¤¤¤¤Would you be surprised to find out your father wasn't really your father?¤¤¤¤¤¤What makes a father?¤¤¤¤¤¤How would you feel if you discovered your child was not really "yours"?>>>>Happy father's day to all good and responsible fathers in Tanzania!
hepi besdei my late father..
Its fathers day real,but my dad has dissappointed me a lot in this life!
Its fathers day real,but my dad has dissappointed me a lot in this life!
Pole sana.
Jifunze kumsamehe.
Kweli ndugu yangu...kama binadamu inabidi tujifunze kusamehe hata katika mambo ambayo mengine ni magumu sana.
To be a father is more than sleeping with a woman.. ukizingatia wanaume wengi wanaamini kuwa..not every ejaculation deserves a name!!
I'm so much touched by your feelings,take it easy,wipe your tears and dry your eyes!Its fathers day real,but my dad has dissappointed me a lot in this life!
Nayakubali mawazo yako,kwa mtindo wa maisha ya kileo,akina baba inatupasa kuweka kinyongo kando,tukubali hali halisi ya kupokea matunda yoyote ya ndoa zetu.Sikumbuki ni mstari gani wa biblia unaotabiri kwamba,"enyi wanaume wa leo,kizazi hiki kimelaaniwa,mtaoa wanawake wenye kulala na waume wengi",so wanaume tuwavumilie wake zetu,na wanawake vumilieni kasoro za waume zenu,tuitumikie laana hii!Juguar,Umeanzisha uzi mzuri sana ila umeuchakachua mwenyewe. Kama wewe siyo baba basi tupongeze sisi ambao ni baba hadi tumekuwa babu sasa!Sooo......Happy father's day to all colleagues !!!!Kuwa baba si kiwiliwili...bali ni concept inayohusisha mambo ya kisaikolojia, filosofia na kitabia. Baba halisi (biological father) anaweza asiwe baba kwa kipimo chochote. Ila mtu mwingine (a non-biological father) anaweza kuwa zaidi ya baba mzazi. Mtoto anahitaji baba wa kweli na siyo sura au kiwiliwili. For me, it doesn't who made my mom pregnant..but who really became my father...Hayo mambo mengine anayajua mama mwenyewe na kwa mtoto umuhimu wake unaweza kuwa mdogo sana. Ndo maana wazee wa busara wakasema kuwa kitanda hazai haramu.Kwa hiyo siwezi kuwafanyia DNA test watoto wangu (wanaoiita baba na kujua kuwa duniani humu hakuna baba mwingine). Kama ni kuitwa majina yoyote (eg. mume *****) ni poa! It is a price I took an oath to bear until my last breath!!Babu DC!!
Rev what does this day really mean to the society? is there any special evens should be conducted to remark this day? and what are they!
Thanks Jaguar, I am a father of a three year old girl. she has changed my life n i promise i will always be there for her no matter what.
dahhhh
Rev
fathers day is in September ....
au ??