Happy father's day

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habari wadau
Leo ni kumbukizi ya wababa duniani nami nawatakia heri na fanaka katika kumbukizi hii especial dady wangu namlavu sana kwa kunilea na kunitunza mpaka niko hivi
Pia sitamsahau dady yetu wa jf Watu8 kwa kutupa maadili sisi watoto wake wote pacha wetu Passion Lady na Lady doctor, WiseLady , na kadogo ketu moses

salamu zimfikie Baba V , The Boss , Arushaone , Erickb52 , kiwatengu ,
Madame B , Mtambuzi , Mentor , Slave , Khantwe , Chachu Ombara (huyu ni laaziz wangu dady Watu8 tambua hilo), na sosoliso na wengineo wengu niliowasahau si mnajua uzee tena hahaaaaaaaa



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…