Happy father's day to all fathers in Jf and the whole world. Je, wanaokuita baba ni kweli wote wanao au wengine changa la macho? Kwani ndoa na mahusiano ya siku hizi vimeo kweli kweli. Enjoy your day.
Pole sana ndugu, hayo ni maneno waliyokuwa wakijifariji mababu zetu miaka ya 47, kabla ya kuwa na kipimo cha DNA, au umekwishapigwa changa la macho na sasa unatafuta faraja?