Happy holiday

Happy holiday

Joined
Nov 11, 2008
Posts
782
Reaction score
40
I wis you all HAPPY HOLIDAY, PLEASE

While keeping water by drinking beer.
DO NOT DRIVE AND DRINK.
KEEP YOUR ROADS ON YOUR EYEZ
Cheza salama kama lazima na usiwakanyage wenzio.

please add..............
 
Last edited:
download
 
hapo ni mwendo wa kuruka gospel music mpaka anafufuka masiha!
 
Thank you mr/ms Kandambilimbili kwa kuwa umeniwahi katika kutuma salaams za Easter. Ninapenda kuwatakia wana JF wote Easter njema yenye baraka na fanaka. Kwa wazazi na walezi tuwe na familia zetu, tufurahie pamoja.Pia kwa marafiki au wachumba mpate nafasi nzuri ya kutafakari hatima ya mahusiano yenu. Amani itawale kwa makundi yote mawili. Tuwe baraka kwa wale wanaotuzunguka wakiwemo, marafiki, adui, majirani, wagonjwa, yatima na wajane/wagani. Ni siku nne tu lakini tuzifanye miaka minne ya faraja kwa wengine.

Tuwe makini sana na matembezi ya sikuku hasa yale ya fukweni. Kumbukeni kwa wanaoishi Tz na jirani na bahari ya hindi huu ni wakati wa upepo na mvua ambazo ni hali za hewa ambazo huwezi kuzi determine so hakikisha watoto wako hawatoki bila uangalizi wa mtu mzima. Na pia si lazima kutoka kama hali ya hewa ni hatarishi.

Others are invited to add more. Once again, I wish you all the best, gain fresh breath and strenth to serve our nation.
 
Happy easter jf team.....kesho kwa wa wakristu msinywe vileo wala kula nyama....jumamosi castle zitakuwa za baridi vya kutosha....break point,na kitaaa.....uku mbali naona hata hakuna shamla shamla sana ni kwa mmoja mmoja sana...kama mjuavyo wenzetu ni kazi mambo ya sherehe wao ni kila siku...kwenye bar bbq..na beer...kesho mnaamka nao kwenye kazi....
Happy easter
 
JF Team
As we approach the historical and memorable resurrection of Jesus Christ, I wish you a very pleasing time with your families.
Enjoy Easter occasion with true meaning!..Cheers
Have a long weekend!..
 
happy easter jf team.....kesho kwa wa wakristu msinywe vileo wala kula nyama....jumamosi castle zitakuwa za baridi vya kutosha....break point,na kitaaa.....uku mbali naona hata hakuna shamla shamla sana ni kwa mmoja mmoja sana...kama mjuavyo wenzetu ni kazi mambo ya sherehe wao ni kila siku...kwenye bar bbq..na beer...kesho mnaamka nao kwenye kazi....
Happy easter

nyama choma zilikuwa sawa na KAKAKUONA siku ya jumaa
 
Back
Top Bottom