BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Sio kweli kabisaMaleft handers wanachukiwa Sana cjui kwanini
Matapeli tu,wakikopa hawarudishag afu ni viherehere yaan kila kitu wanakuwa wanafanya harakaharaka cjui wakoje πππMaleft handers wanachukiwa Sana cjui kwanini
Utakuwa unaota Ndoto za mchana wewe!,Huwa haziwi na ukweli.Matapeli tu,wakikopa hawarudishag afu ni viherehere yaan kila kitu wanakuwa wanafanya harakaharaka cjui wakoje πππ
Naandika kwa uhakika wengi ni wachoyo,maana wanatolea mkono wa kushoto pia wanaaaa sijui niite kiherehere au harakaharaka πππUtakuwa unaota Ndoto za mchana wewe!,Huwa haziwi na ukweli.
Tunachukiwa na nani??Maleft handers wanachukiwa Sana cjui kwanini
NakubusuMatapeli tu,wakikopa hawarudishag afu ni viherehere yaan kila kitu wanakuwa wanafanya harakaharaka cjui wakoje πππ
π²Ndio umezaliwa ivyo,au umejifunza tu kutumia yote miwil?Nakubusu
Mimi naandika mikono yote napiga left napiga right watu wananishangaa nimewezaje?