Happy New year kwa wajasiriamali wote

Happy New year kwa wajasiriamali wote

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wkuu habari za mwaka mpya

Wakuu samahani kwanza nimekuwa sionekani humu janvini kwa muda sasa hili linatokana na kutingwa na mambo mengi sana, kiasi kwamba huwa nachungulia humu mara chache sana. Na nilipata ziara ya kutembeleaMajirani zetu wa Kenya na kwa kweli kuna mambo mengi sana niliyo jifunza huko ambayo nazani ni muhimu sana tukayafanyia kazi kama kweli tunataka kupiga hatua na si vinginevyo,

Nikipata muda nitawea baadhi ya mambo, biashara kwa ujumla,na ishu ya ufugaji wa Kuku
 
Mkuu chasha .... hongera kwa kuvuka mwaka

Nasubiri kwa munkari habari njema zaidi ufugaji wa kuku .... sitoki huku

By the way nimeanza mradi wa bata mzinga kufuga na kuuza nyama yake ... Naomba msaada was ushauri was breed ipi ni nzuri ...
 
Kaka asante kwa kuwa umerudi salama na unauhakika wa kujionea changamoto za kimaisha. Nasubiri ulete madini ndugu
 
Back
Top Bottom