ikizu JF-Expert Member Joined Oct 26, 2011 Posts 431 Reaction score 56 Dec 31, 2011 #1 Namshukru Mwenyezi Mungu mimi nimeuona mwaka mpya wa 2012. Mwaka mpya nimeuona baada ya jua kuzama maana ndiyo mpango wa Mungu maana siku huhesabiwa pale jua linapo zama na ndo hivyo Mungu alivyozihesabu siku angalia Biblia kitabu cha Mwanzo
Namshukru Mwenyezi Mungu mimi nimeuona mwaka mpya wa 2012. Mwaka mpya nimeuona baada ya jua kuzama maana ndiyo mpango wa Mungu maana siku huhesabiwa pale jua linapo zama na ndo hivyo Mungu alivyozihesabu siku angalia Biblia kitabu cha Mwanzo