Happy new year wana jf

ikizu

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2011
Posts
431
Reaction score
56
Namshukru Mwenyezi Mungu mimi nimeuona mwaka mpya wa 2012.
Mwaka mpya nimeuona baada ya jua kuzama maana ndiyo mpango wa Mungu maana siku huhesabiwa pale jua linapo zama na ndo hivyo Mungu alivyozihesabu siku angalia Biblia kitabu cha Mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…