Anyway sio ujanja kulelewaNamiliki mtoto mkali.. sorry sio mtoto ni mmama yule
Ana matako makubwa
Mweupe
Alafu ana pesa.....
It is not permissible for a Muslim to celebrate any of the festivals of the kaffirsmmh how?
Mmh, lakini kila mtu anastahili zawadi ya upendo, haijalishi vile alivyo... kwa hiyo mpewe kubwakubwa nyie wenye mashepu yenu, hawa wengine wao niaje🤪Unapewa zawadi kulingana na ulivyo
Mtu Asha matege unapewaje zawadi za Hamisa Mobetto?
Nimemzingua tu mleta mada😂Mmh, lakini kila mtu anastahili zawadi ya upendo, haijalishi vile alivyo... kwa hiyo mpewe kubwakubwa nyie wenye mashepu yenu, hawa wengine wao niaje🤪
Asante sana Sumbai.Ni yeye,
Happy valentine♥️
Uzuri tu ni kuwa kila level ya maisha ina watu wake, kila mtu anakula anapofikia, so kila mtu ana wa kumpenda...Nimemzingua tu mleta mada😂
Ila hata nyie wanaume mnaona jinsi mnavyotoboka kwa wadada wazuri zaidi.
Wenzio wanachakaya mbusuusu wee unasema this is haramAstaghfirullah this is Haram my Muslim brothers and sisters
Sijaona uliponipenda mkuu!Kila mmoja anastahili upendo, me nawapenda wote
Wee enjoy na bby wako hakikisha unampa zawadi ya gari sio chupi na mkanda😂 Eti haram eeh, sijaamua kubishana, naheshimu tu imani za wenyewe
Khaaa sio mengu tuu..Khee tutajionea mengi🤣