Magnifique=Magnificent =Magnifico.Ukifanikiwa kumshawishi mwenza wako siku ya leo mkatoka kwenda kusalimia wenye uhitaji mahospitalini hata vituo vya wenye uhitaji mtakuwa mmefanya jambo litaloishi mioyoni mwa watu na machoni pa Mungu hata milele.
Mimi huku mambo bado hayaeleweki. Demu lenyewe linajishebedua.
HAPPY VALENTINE DAY!!!!
View: https://www.youtube.com/watch?v=aoKzSzJM6yM
Leo kuna mtu ataambiwa "kama unanipenda kweli nipe Yas" nae atatoaHappy Valentine.. angalieni msitoboke sana
Yani wewe💞Hiyo hela mtakayotumia kwenye vitu visivyo na ulazima, nunueni viroba vya unga na mchele mtie ndani.
Chakula kiwe full.
kupangia watu maisha sio vizuri.Hiyo hela mtakayotumia kwenye vitu visivyo na ulazima, nunueni viroba vya unga na mchele mtie ndani.
Chakula kiwe full.
Ndio kwanza asubuhi..!kupangia watu maisha sio vizuri.
ila ushauri wa mleta mada ni wa maana, utabaki kuwa ushauri na sio amri.
Umeshamuambia mumeo au umeona sisi watu baki ndo wa muhimu!!Happy Valentine's day J.
Unanipangia yupi wa kumpa? Wewe kama hutaki kausha.Umeshamuambia mumeo au umeona sisi watu baki ndo wa muhimu!!
Aisee jamaa kazi anayo.Unanipangia yupi wa kumpa? Wewe kama hutaki kausha.
Thanks na kwako pia happy valentine mkwe yeye atakuwa anapika bilian bhnhappy valentine mkwe Mwachiluwi lakini kama unakunja manda za sambusa mwanangu atakupikia nn?
mh zile manda zinanipa mawazo yan umekaa zako ukaamua ukunje manda s mchezo mkeo ajipangeThanks na kwako pia happy valentine mkwe yeye atakuwa anapika bilian bhn