Happy valentine's day

Lazima alitumia huo muda effectively kwa kuonyesha upendo kwa vitendo.
 
anakupenda wewe baada ya kilaji
 
Jamaa yangu kaondoka hasubuhi
Kanijia saa 6.30 ucku amelewa hoi na ua lililochakachuliwa .
Huyu naye ni mpenzi kweli?

Wewe hukuchukua hatua ya kumuhoji kulikoni?
Huenda alizidiwa na mvua ya Jana
 
Si mbaya mkatuambia yaliowakuta wale mliioachwa jana jamani msione haya siku hii mahusiano mengi dunian yanasahaulika mapaka sasa aijajulikana n pepo gan anasumbua 14 feb
ya kwako ilikuwaje mbona tumeongelea saana kabla ya valentine tujulishane na baada jamani

kwenu yaliowakuta
 
ahahahah yaani kwanza nimecheka!!!! Afadhali wewe uloopewa ua lililochakachuliwa...wengine bado twangoja tu......lakini mbona na ulevi wote huo kakumbuka kukuletea!!!
 
Wewe hukuchukua hatua ya kumuhoji kulikoni?
Huenda alizidiwa na mvua ya Jana
mke mtu alimsubiri mumewe tokea asubuhi mpaka saa mbili usiku,mke anajuwa wazi mumewe anapenda sana basketball, jamaa alipofika tu akamwambia mkewe kuwa alikuwa akila raha na karani wake,mke akashangaa kumwangalia jamaa alikuwa kachafuka nyasinyasi, mkee akawa mpole akamwambia jamaa siku nyingine ukienda uwanjani nitaarifu kumbe jamaa ni kweli alikula maraha na karani ila alipitia uwanjani kujichafua kidogo ili asishtukiwe
 
ahahahah yaani kwanza nimecheka!!!! Afadhali wewe uloopewa ua lililochakachuliwa...wengine bado twangoja tu......lakini mbona na ulevi wote huo kakumbuka kukuletea!!!

Dah...nagalao umeona zuri katika hilo....yeye kaona ulevi tu!
 
ahahahah yaani kwanza nimecheka!!!! Afadhali wewe uloopewa ua lililochakachuliwa...wengine bado twangoja tu......lakini mbona na ulevi wote huo kakumbuka kukuletea!!!

Subiri tu Shishi, labda aliagiziwa yale ya kutoka london, yapo njiani yaja. Mvumilivu...................
 
DAH!Mine was soooooooooo good,I thank GOD!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…