Barikiwa sanaNa ziwajae baraka tele wanawake wote...
Barikiwa sanaNa ziwajae baraka tele wanawake wote...
Asante sana dear[emoji7]
Amen mkuuNa ziwajae baraka tele wanawake wote...
Aaa dadeki kwisha habari yangu nishatongoza libaba huko..π€£Kwa taarifa yako uliowataja wote hakuna jinsia ya kike
JF kuna jinsia ya kike wawili tu,ambao sa hivi wameacha kutumia JF
Kwa niaba ya hao wengine wengiii uliowasahau tunashukuru kwa salamu
Pampula mioyo ya ajabu ndio ikoje?
Dear... Mambo?!Ahsante Sana kichaa wangu...mla kitimoto usiechuja...[emoji23][emoji23]... Nakupenda pia rafiki yangu..ishi Sana mtu mrefu..ubarkiwe kila uchwao[emoji4]
Poa..za kwakoDear... Mambo?!
Shwari umentenga sio?!Poa..za kwako
Kukutenga ajeShwari umentenga sio?!
Utajua hujuiAaa dadeki kwisha habari yangu nishatongoza libaba huko..π€£
Hahahaaa. Ila Pacha sijui umewaza nini lol.Kwa taarifa yako uliowataja wote hakuna jinsia ya kike
JF kuna jinsia ya kike wawili tu,ambao sa hivi wameacha kutumia JF
Kwa niaba ya hao wengine wengiii uliowasahau tunashukuru kwa salamu
ππππ
AMEN..ubarikiwe nawewe pia.Na ziwajae baraka tele wanawake wote...