Happybirthday pretta!........



Bila kusau hii kitu usinunue nitakuja nayo mwenyewe nimepakia kwa tuktuk
 
Ha ha ha!! hakikisha tuktuk iko well serviced, usije ukafika after party, tukakosa cake bure!!!
 

zawadi yangu hiyooo...!
 
Ha ha ha!! hakikisha tuktuk iko well serviced, usije ukafika after party, tukakosa cake bure!!!

Hehehehe si unajua tuktuk ya mchinia kwa hiyo ikifika cake kama unga mtanisamehe jamani
 
Fidel hujatulia wewe 😀

Unajua F1 mm bila kupiga hii kitu usiku unakuwa mrefu sana lazima nigonge na siku hizi nimehamia kwenye mziki wa Bavaria 8.6 ni safi sana kwa sisi wanywaji angalia hii hapa.
 
Hehehehe si unajua tuktuk ya mchinia kwa hiyo ikifika cake kama unga mtanisamehe jamani
Binamu hiyo itakuwa co keki tena ngoja nitayarishe ya akiba maana am starting to dauti your tuktuk.
 
Preta heri ya siku ya kuzaliwa mpenzi, MUNGU akujalie ufurahie siku hii kwa miaka mingine 50.
 
Happy Birthday Preta.May You Blow 100 Candles..

By the way how is Paco na Felipe?does Rai fine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…