Happybirthday to me

Happybirthday to me

D Metakelfin

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
3,399
Reaction score
3,666
Habari wanajukwaa
Siku kama ya leo miaka kadhaa nyuma mwanaume nilizaliwa i cant think ni furaha kiasi gani walikuwa nayo wazazi wangu hii siku baada ya kumpokea kijana wa kiume kwa mwaka niliozaliwa ilikuwa ni jumanne ila kwa mwaka huu ni ijumaa.
Ujumbe nawapendeni wote

NB:sitafanya sherehe leo isipokuwa ntafanya kitu kitakachonipa baraka kwa MWENYEZI MUNGU

sent from posta
 
Habari wanajukwaa
Siku kama ya leo miaka kadhaa nyuma mwanaume nilizaliwa i cant think ni furaha kiasi gani walikuwa nayo wazazi wangu hii siku baada ya kumpokea kijana wa kiume kwa mwaka niliozaliwa ilikuwa ni jumanne ila kwa mwaka huu ni ijumaa.
Ujumbe nawapendeni wote

NB:sitafanya sherehe leo isipokuwa ntafanya kitu kitakachonipa baraka kwa MWENYEZI MUNGU

sent from posta
[emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji323] [emoji322] [emoji322] [emoji322]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom