Hapy born day salama jabir

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Leo dada wa mkasi anatimiza miaka kadhaa. Hongera kwa kila alichotufanyia kwenye muziki wetu(enzi za planet bongo ya ukweli kabla mbana pua dulah hajaiharibu) hadi sasa kwenye mkasi.
Muungano ukivunjika tafadhali ubaki huku huku tanganyika!
 
Hapana sio wote tunapenda hivyo.......yaani huwa inakuwa Kero jamani

dula ana2tia aibu vjana marijali km ss!,jamaa huwa ananpa mashaka kwel,hata km swaga co hzo za kujipodoa,kurembua rembua adi anataka kukuzd black beauty we2 wa jf.cha ajabu anapodoaga mpk maneno!
 
Dulah ameiharibu planet bongo ya salama.bora hata ibadilishwe jina. Salama alikua anatupeleka hadi gheto kwa fid q ! Mbana pua huyu ni samadi ya binadam kabsa
 
Dulah kweli ameharibu planetbongo jamani,afu ananiuzi hajui hata kuvaa sijui ana hata dizainer lol anatia aibu na mavazi yake kama anaenda kupanda mlima kilimanjaro
 
dula ana2tia aibu vjana marijali km ss!,jamaa huwa ananpa mashaka kwel,hata km swaga co hzo za kujipodoa,kurembua rembua adi anataka kukuzd black beauty we2 wa jf.cha ajabu anapodoaga mpk maneno!

Hahaaa JF raha jamani.....Vifungiwe vyombo vyote vya habari lakin sio JF......
 
Sasa mada ni Dulah au Salama con...shit..sorry.....Salama Jabir's bday..?
 
Salama ndio presenter naemkubali zaidi hapo bongo tokea day one watu hawamwelewi..
 
Dulah ameiharibu planet bongo ya salama.bora hata ibadilishwe jina. Salama alikua anatupeleka hadi gheto kwa fid q ! Mbana pua huyu ni samadi ya binadam kabsa

ulitaka Dullah akupeleke ghetto la nani?..elewa dula hawezi kuwa Salama,,usilazimishe dula awe salama,mwache afanye kama dula sababu yeye sio salama..kama anakuboa kwa kutokua salama,jaribu wewe kuwa salama.
 
ulitaka Dullah akupeleke ghetto la nani?..elewa dula hawezi kuwa Salama,,usilazimishe dula awe salama,mwache afanye kama dula sababu yeye sio salama..kama anakuboa kwa kutokua salama,jaribu wewe kuwa salama.

na ikiwezekana awe salama kondom #
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…