Haraka: Kama una NGO fungua hapa.

Haraka: Kama una NGO fungua hapa.

Logo

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
588
Reaction score
48
Heshima Wakuu,
Naomba ushauri wenu nataka kuanzisha NGO.
1. Christian NGO
2. Itakuwa Mtwara
3. Itakuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu kielimu (education center, Church, Chrisitian fm Radio)

Natatakiwa kwanza kuanza kwa NGO tu mengine yatafuata baadaye. Naombeni procedures nitafurahi sana, nifanyeje. Mfano nasikia kuna katiba, naombeni angalau template na mengine mengi Asanteni.
 
kuna kampuni inaitwa GSBC Ltd inaweza kukufanyia kazi hiyo yote kwa bei nafuu sana contact MR Mbele 0715752090
 
kuna kampuni inaitwa GSBC Ltd inaweza kukufanyia kazi hiyo yote kwa bei nafuu sana contact MR Mbele 0715752090

Good advice lakini ili kupunguza gharama anayeweza na anayejua atusaidie hizo NGO Templates
 
Ada nafuu sana unaandikiwa katiba , mpango mkakati na mpango kazi
Wasiliana nasi kupitia +255655746067 & +255752746068
 
Back
Top Bottom