Modeli za maendeleo za Tanzania ni 'evolutionary' na sio 'revolutionary'. Na kwa kawaida michakato ya ki-evolutionary inachukua karne kadhaa kuleta mabadiliko. Tunahitaji watu kama kina Hugo Chavez kuleta 'revolutionary' change!
Wapambanaji wa kweli tunajuana kwa vilemba. Tunashirikiana na kupeana mbinu kwa siri. Hatumwagi mtama kwenye kuku wengi - wa kienyeji na kisasa!
Enginered Development Models.
Bonge la deal mkuu!..wala usisubiri kalianzishe mwenyewe..Companero,
..mimi nasubiri Uchaguzi Mkuu Zanzibar najua vurugu zake zitakuja na dili ya kujilipua ukimbizi.
..hapa nilipo nishatayarisha nauli yaani kama naiona Denmark,Finland,Canada,UK
To retreat is not to surrender said Bob!
Mkuu wala sina shaka na hilo...Wee lianzishe tu watu wengi wataponea hapo kuliko huyu mkuu wangu Companero anayeingia mitini kutafuta box..Mkandara,
..you think I'm joking.
..tayari kadi ya CUF ninayo.
..halafu nimejilengesha kujiandikisha kupiga kura nimezuiwa.
..ninachosubiri sasa ni uchaguzi ufanyike, halafu maandamano.
..sasa hapo nina jamaa yangu ni mpiga picha wa gazeti fulani.....
..ngoja niishie hapa, lakini nipo serious.
Uhuru wake bendera, huo ndio utumwa
Rais wetu ombaomba, nasi wananchi pia
Uchumi huo twakalia,mafisadi hao jichumia
Kezaji nalo latucheka, madini yetu lachota
Ndugu yangu mafanikio yepi? Kwenye maboksi watu wanazamia hata kwa kutambaa. Tena wanajilipua. Wengine wanacheza bahati nasibu ya Kijani!
Nani kakuambia ukikaa katika kijiji cha Tanzania leo hii utakuwa away from the vices and evils of capitalism? Au hujui kuwa vijiji vinauzwa sasa kwa wawekezaji walime jatrofa, wawinde wanyama na wachimbe madini? Na hicho Kilimo Kwanza ni ndoto ya alinacha, sasa hivi sekta inayoongoza kwa kukua ni minining, ikifuatiwa manufacturing, utalii na ujenzi. Ubepari na Ubeberu umetandawaa kila kona, kuanzia mijini hadi vijijini.Naona huyu Companero ni Mwanaharakati kihiyo tu wa mtandaoni ambaye kapumbazwa na nadharia zilizopitwa na wakati za Fanon ambazo kimsingi zinahusu uhusiano wa Weusi na Wazungu enzi za ukoloni.
Ukwasi wa mjini si sababu ya kuamua kurudi Ughaibuni ulikokimbia. Kama kweli ni true Son-of-the-soil na una "ushungu" wa dhati na nchi yako rudi kijijini kwenu ukalime. Kwa Mwanaharakati wa kweli, dawa ya moto ni moto.
That said, the proper course of action for dude right now would have been to hit some bush village and go lead a simple, rural African lifestyle dependent on the fruits of the earth, and harvests of the land and rivers away from the vices and evils of capitalism and White folks. You need to fight fire with more fire dude!