Harakati za wachezaji wa Ulaya vs Bongo

Alegria do povo

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
293
Reaction score
441
Yule mchezaji wa Jana Carlos Bacca alowapa ubingwa Sevilla, miaka nane ilopita alikuwa Mvuvi na kondakta wakati huohuo anapigana kucheza soka. Malipo yake anayapata akiwa anaelekea miaka 30 sasa.

Vijana wetu wanawaza betting kuliko kununua viatu vya soka, kwao kutoka kisoka ni bahati sio kujituma. Ile akili ya refarii kwenye maisha inatumaliza wengi sana.

Anyway tuache propaganda, kuna jambo moja tu kwa sasa linaweza kuwaokoa hawa wachezaji wetu na haki zao. Tengenezeni chama cha soka cha wachezaji kitakachosimamiwa na wanasheria bora. Kuwepo na ada tu ambayo itatoa mishahara ya hawa wanasheria kila mwezi. Nchi zilizoendelea wachezaji wana mawakala wao wenye akili na bado wana hivi vyama vya kuwatetea, iweje sisi ambao hata mawakala au mameneja tunawapata siku ya kesi.

Siku njema. Simba wanamfunga goli Messi, Kisha wanajifunga wao na mwisho wanalifunga taifa lao.

Anaitwa Nicasius Coutinho Suso kule Facebook
 
Unajipa promo dogo, mleta mada ndio huyo huyo wa Facebook...
 
Kwani ni wa Muda sana mkuu. Mbona hujawahi kuleta hata makala zake tufaidi sasa huku

Dogo punguza ujinga sio kila kitu nachokijua lazima nikilete jf wewe
kuna makala yake ile yeunye kichwa kinachosema

Rogders mtihani umevuja kabla ya kuutunga
humo anaelezea jinsi alivyoishiwa mbinu kwa kumuuza Suarez

kuna ile ambayo anazungumzia usawa hakuna anatolea mfano wa Messi na sanogo

ile ilikua lini ??

au ndio wewe unajipa promo kaza buti dogo huna ulochofaidika kupitia uchambuzi japo upo vizuri sasa utafute gazeti la michezo uwe hata unajitolea kuliko kupata sifa facebook.

umeelewa dogo
 

Dunia na maajabu yake... Haya mimi ni yeye na yeye ni mimi
 
Sijui km nimekuelewa...anyways ngoja nipite kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…