Harambee changia madawati yafana Mwanza chini ya Wenje


Me love this. Viva Chadema!:israel:
 
nimechakachua nini??mimi nimeripoti yoote nliyoyaona lakini meengi zaidi nikayaacha....sijatia chumvi licha ya kuonesha mapenzi yangu waziwazi dhidi ya cdm...nakipenda hiki chama...cdm 4ever
 
CHADEMA tuna mungu bali wao CCM wana poliis, amri na mahakama.
Peoples.............. Power........
Solidarity forever.

Viva chadema viva!vivaaaaaa!viva viongozi wote wa chadema viva!vivaaaaaaaa! Viva wabunge wote wa chadema viva!vivaaaaaaaa!viva makamanda wote wa chadema viva!vivaaaaaaa!viva marafiki wote wa chadema viva!vivaaaaaaaa! Viva Tz viva!vivaaaaaaaa!CHADEMA KAMATA MWIZI MEEEEEEEEEEEEEEEEEEN!
 
yaani imefika kipindi wazee wetu wa mwanza wanakuwa athaminiwi kiasi hiki hadi mgeni rasmi wa harambee awe mjaruo wa kenya kisa mbunge ni mjaluo wa kenya, nafikiri tunahitaji upendeleo na uzawa zaidi kwenye mambo ya msingi kama hayo hawa wageni wamezidi kutidharau amkeni ndugu zangu wa mwanza kwa nini mgeni rasmi asiwe mzee KAFITI?
 

wewe mnafiki endelea na chuki zako za kibaguzi
 
Atatoa pesa? Ama ndiyo laki 5!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…