Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.