kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
Kiranga.......i wish jk angepitia shule ulizopitia wewe....
Honestly.........
wacha nibaki na ujinga wangu,huu wa kwako unaambukiza!!!mtu akibishana na wewe ataonekana anaumwa zaidi...
eti facts which facts????umeleta pale juu ubeijing as if wewe ndio mseamaji wao????eti teja la madawa ya kulevya....WHAT EXACTLY DO YOU KNOW ABOUT CHARITY????
charity hajamlazimisha mtu,as you said,UNAAMINI KATIKA UHURU WA MATUMIZI ya MTU NA PESA ZAKE......stay well back!mtu akitaka kufinance TEJA,BWABWA etc...inabaki...HAYAKUHUSU!
Tatizo sio shule....tatizo ni common sense hakuna vichwani mwa Watanzania wengi. Huyu mwanamke aliyeanzisha hii mada ni microcosm ya jamii nzima kwa ujumla. Mbaya zaidi common sense haifundishwi shuleni wala kununuliwa dukani. Unaweza ukawa na miakili kibao ya kwenye mivitabu lakini akili ya maisha, busara, na hekima huna. Unaweza ukawa na mihela kibao lakini common sense huna.
Kuna ugumu gani kuona kuwa hiyo ada wanayoilipa Brazil na matumizi mabaya ya fedha chache tulizonazo wakati tunamatizo makubwa yanayotukabili? Napenda sana kumtumia binti yangu kama mfano kwa sababu ana common sense nyingi sana na hata yeye angeliona hili. Inakuwaje mijitu mizima na akili zao hailioni hili hadi kuunga mkono kitu cha kipumbavu?
ila ukiiangalia kwa undani mada hii utakuta wote wanaongelea kitu kimoja lkn kwa mtazamo tofauti
Fact ni kwamba you can't get something out of nothing, at the very least utu wa ombaomba unapungua.
Ndiyo maana hata watoto wa nursery wanafundishwa wimbo huu.
"Kuomba omba, kubaya sana, kuomba omba, kubaya sana
Usiombeee, usiombeee, jitegemee"
Zaidi, tunajua kwamba shida haina mwenyewe na kuna nyakati inabidi kuomba, lakini si katika anasa kama hizi.
What I know about Charity ni kwamba kaja hapa kupalilia tabia ya uombaomba, uomba omba usio tija, wa gharama zisizo msingi, gharama za starehe za mpito, anataka kuwatia watu mzigo usio lazima.
Lazima tupinge upuuzi kama huu maana mawazo ya kipuuzi kama haya ndiyo yanayorudisha nyuma taifa letu, badala ya wananchi kufanya kazi wanakuwa wanategemea kuombaomba, kwa jirani, kwa serikali, kwa mjomba.
Si maisha hayo, lazima tujirekebishe.
riNaamini katika uhuru wa matumizi ya mtu na pesa zake, lakini Charity hana pesa zake anazotaka kutumia hapa, anataka kuchangisha wenzake, kwa hiyo uhuru wa matumizi hana hapa. Na ni kweli watu wana hiyari ya kumpa au kutompa, lakini mtu akishakuwa ombaomba akubali kuambiwa ukweli kuhusu hiyo tabia yake, hususan kama anaendekeza uomba omba kwenye mambo ya anasa za gharama zisizo lazima. Mimi nafanya kazi ya kusema ukweli tu hapa.
Charity hajamtia mtu mzigo usio lazima kwani hajamlazimisha mtu, ...nimekwambia pale juu kuna watu wanazo pesa in excess...kama kwako hii ticket ni 'mzigo.gharama usio wa lazima' kuna wengine...hii ni hela mbuzi tu,na sio mzigo!
Humjui charity,hukupaswa kumdhalilisha,kama kuomba hata serikali inaomba,cha ajabu ni nini wanachi wake wakiomba....???
sio kosa KUOMBA,ndio njia pekee ya kumjulisha mwenye nacho kwamba huna na unahitaji msaada...unategemea mtu from nowhere aote ndotoni kuwa charity naye anahitaji ticket....???
kama wewe pesa yako ni bora imsaidie mtu yatima good for you,ila kuna wengine ni bora amchukue mtu waende wakastarehe wote!!!ni choice ya mtu at the end of the day!!,jaribu kuwa na mipaka!,usilazimishie what you think, how money should be used...!
ri
nikisema uhuru wa mtu na pesa zake,sikuwa namuongelea charity!nimemaanisha...waache hao wanaotaka kumsaidia charity kwenda kuiona hio mechi wafanye hivyo,its their money!!!
No wonder nchi yetu iko masikini.Kuna section nzima ya Watanzania inayofikiria kama wewe.Huwezi kufikiria long term, huoni zaidi ya urefu wa pua yako.
Kwa taarifa yako tu, moja ya sababu inayoifanya Tanzania kuwa maskini mpaka leo ni matumizi mabaya ya fedha.Kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi kama hivi tunavyoona.
Badala ya serikali kutumia fedha chache za kigeni tulizonazo kuongeza uzalishaji wa uchumi, watu wananunua mishangingi kila mwaka, watu wanatumia mimilioni ya dola kwenda kuleta timu ya Brazil, kwisha hapo mimilioni mingine wanakwiba.
Na wananchi nao wanachangia, wenye kuiba ili kupata kiingilio ndio hao wanakwiba, wenye kuiba ili waonekane mapedejee nao wanakwiba ili kujionyesha kwa visunguratope ombaomba kama kina Charity.
Basi ilimradi kila mtu anataka shortcut, ukiwaambia watu nendeni shule kuongeza ujuzi, mpate elimu ya kujikimu, wanakuona mkali unawakaripia.
Kumbe unawaambia ukweli.
Sasa nchi itaendeleaje wakati damu yake ishaingiwa na hili li UKIMWI la kuomba omba?
Yaani mtu anatumia irresponsible borrowing na fiscal irresponsibility ya serikali kujustify fiscal irresponsibility ya watu.
Two wrongs do not make a right.
Ninachosema kumpa hela huyu dada ni sawa na kulipa teja la madawa ya kulevya hela ili linunue madawa. Likoverdoze damu yake itakuwa juu yako.
sikuwezi babu wee....
ngoja nikuache,maana naona sikuelewi na wala sitakuelewa...
kuomba kwa mtu kama charity sijui vina uhusiano gani na matumizi mabaya ya serikali?...
mwaya Charity sina hio pesa...mie ningekupa..:hug:
NO si sawa...:angry:
Ni sawa kwa sababu zote mbili ni addictive na destructive habits.
Huyu dada anakuwa addicted na lifestyle asiyoweza kui afford
Teja linakuwa addicted na madawa ya kulevya.
Sooner or later teja litaoverdose, na huyu dada ataendekeza tamaa na kufanya kitu kibaya, ataiba, atasaliti ndoa/penzi kwa ajili ya tamaa.
ku fund any of the two ni ku fund destructive habit.Wenetu waliosoma psychology wanaiita hii tabia "enabling".Tusitake kumu enable huyu teja hapa.
Sijamkataza mtu kutoa pesa zake kwa ujinga huu, hili nimeshalisema hapo juu.
Ninaeleza msimamo wangu kuhusu swala hili. Na mimi kama mmoja wa members wa JF, niliombwa msaada, nikatoa majibu yangu ambayo yanajumuisha mtizamo wangu na falsafa yangu ya maisha kuhusiana na kuomba omba.
Katika kueleza msimamo wangu, najikuta napambana na kansa ya kuomba omba katika kila kona.
Kwa hiyo kama nilivyosema mwanzo, Charity ana haki ya kuomba na watu wana haki ya kumpa, indeed hata kama ningekuwa nataka kuwazuia watu wasimpe ningewezaje wakati watu wana ma PM na ma Western Union?
Ninachosema kumpa hela huyu dada ni sawa na kulipa teja la madawa ya kulevya hela ili linunue madawa. Likoverdoze damu yake itakuwa juu yako.
If you fuel this habit and this woman turns completely dependent you will have contributed to that.
Kama vile Charity alivyo na uhuru wa kuweka bango la ombaomba hapa, na watu walivyo na uhuru wa kumpa au kutompa, na mimi nina uhuru wa kushurumu tabia ya kuombaomba bila tija.