ok,noted.1.This is my chance ndio maana ningefurahi sana kama angalau ningekaa kwenye jukwaa la laki mbili,huko Kamera ya CNN,SKAI NEWS na BBC inaweza kunipitia(sore ofutopiki).
2.Mie sina chochote ndugu yangu ndio maana nikaona niombe mchango,wahenga walisema mficha nanihii hazai.
3.Sijawahi kuingia uwanja huo wa taifa ndio maana nimeomba msaada huu niweke historia achilia mbali kuona mechi za kimataifa(labda kwenye luninga)
4.Nia yangu ni kuona mpira hivyo nikipata free pass nitashukuru pia.(ila hela ya maji ya kunywa uwanjani nayo ni muhimu)
Nadhani nimejibu vema tall.
Kwa mvao huu wa asili ya Mtanzania nina uhakika Bodi ya Utalii Tanzania itakupa free pass ili Wabrazil wapate fursa ya kuona mavazi yenye asili ya Kitanzania. Sasa watakuonaje kama usipokaa VIP ambako ndipo wanapoingilia na kutoka uwanja? Kwa kifupi umeshapata free pass na utakuwa na JK pale jukwaa kuu !
Kingine?
MASAKI:Nimekutaja angalia vizuri kwenye post yangu,upo kwenye na wengine woote.Najua wewe utanifadhili kofia na traksuti.
FL1:tupo pamoja mama,WANAWAKE na michezo
MASANILO: kutoa ni moyo,haijalishi umetoa kwa wangapi,hata Yesu aliutoa uhai wake kwa ajili yetu.
BROOKLYN : Mie ni WAHAPAHAPA bongo tambarare
Shemej KAIZER : asante kwa pleji yako,umeonesha njia kuwa INAWEZEKANA.
NB.Naomba michango yote ipokelewe na Mwaka hazina bht, au wasiliana na makamu mweka hazina FL1 vilevile mwaka hazina msaidizi JS.
Nawashukuru tena kwa moyo wa ukarimu.
Yaani Charity watu wanajikausha ingekuwa umewaambia mkutane kwenye kinywaji ndo harambee ifanyike kina masaki wote wangekuwepo,kaizer ,Chrispin,Kimey, Next level. Fidel80,Geoff mambo yangekuwa full mzuka kiingilio si tatizo tena
FL1 wee acha tu,watu wanatoa harambee wakiwa na hengiova.Lakini mpira si mpaka tarehe 6? labda wanajifikira watoe nini,ngoja tuendelee kusubiri.Na nakuahidi zikizidi nitakugawia angalau upate ticket ya elfu 30.Yaani Charity watu wanajikausha ingekuwa umewaambia mkutane kwenye kinywaji ndo harambee ifanyike kina masaki wote wangekuwepo,kaizer ,Chrispin,Kimey, Next level. Fidel80,Geoff mambo yangekuwa full mzuka kiingilio si tatizo tena
Hahahahahahahaaaa.Hujatulia kweli wewe.Lakini pengine huo ndo ukweli wenyewe.nitabadilisha approach ila naomba msaada wako wa ku-organize.Kwa hiyo amekosea ''approach''? Yaani anagesema jamani wapwa karibuni kwangu J'tano kuna mbuzi choma na bia. Ila kutakuwa na harambee kidogo ya kuchangia tiketi ya kuangalia mechi ya Brazil.
Hahahahahahahaaaa.Hujatulia kweli wewe.Lakini pengine huo ndo ukweli wenyewe.nitabadilisha approach ila naomba msaada wako wa ku-organize.
Nashukuru sana Kiranga kwa moyo huo wa ufianchi lakini naona kama mimi unanionea bure.Pengine ulitakiwa uwe mshauri wa rais wa masuala ya kiuchumi ili at the first place hao Brazil wasije kabisaaaaa hapa Bongo.Sasa ndo hivo tena mkataba ushasainiwa na wanakuja iliyobaki twende tu tukawaone kwa vile hata nikisusa kwenda ''wengine'' wataenda hivyo haitasaidia sana.Na mimi nimeona niombe mchango ili niende nipunguze makali ya uchungu angalau kushangilia.Posts kama hizi zinanifanya niamini kwamba Watanzania wengine wamepata uongozi wanaodeserve.
Wewe mtu masikini, unataka kufanya anasa usizoweza. Watu masikini, lakini wanajitutumua kufanya harusi za kifahari.
HALAFU HAPO HAPO UNAOMBA WENGINE WAKUPE MSAADA ILI UFANYE ANASA!!!!!!!!!
BILA AIBU!
Six million US dollars for a one day extravaganza!
From a very poor country nevertheless. And my fellow Tanzanians are extra jubilant over this.
Tanzania, a poor African country with GDP Per Capita hovering around $ 500, half of the hospital beds taken by AIDS patients, with a good number of other patients either sleeping on the floor or sharing beds and therefore sharing communicable diseases, a good percent of primary school students sitting on dirt/ floor due to lack of desks in school, less than 29% percent with access to clean water (Ministry of Water figures, so you know the true figure is half of that, if that) … I can go on and on to paint the picture of abject poverty afflicting my country, but I believe you get the picture.
The bottom line is that Tanzania is a very poor country, and bringing Brazil at this cost is irresponsible.
The $ 6m could have funded 90,000 new school desks or 90,000 hospital beds, clean water projects for a good number of villages in rural Tanzania.
Just to put this into perspective, at the official GDP Per Capita of $ 500 (which is buoyed by a few industrialist multimillionaires and thieves in the government) it will take 12,000 Tanzanians to work a full year to cover this cost.
To put this in perspective, if you take the GDP Per Capita (nominal) of the USA to be 50,000 for simplicity's sake (it is around 46,000) and use it in equivalent manhours used to import this irresponsible extravaganza, it will cost the USA around 600 million dollars to play one match. Now even with the relative affluence of the USA compared to Tanzania I doubt people would be enthusiastic to this type of a rip off.
I am Tanzanian, but when I look at our poverty, lack of priority and the gleeful nonchalance that my countrymen adopt, sometimes I am tempted to diss nationalism.
Nashukuru sana Kiranga kwa moyo huo wa ufianchi lakini naona kama mimi unanionea bure.Pengine ulitakiwa uwe mshauri wa rais wa masuala ya kiuchumi ili at the first place hao Brazil wasije kabisaaaaa hapa Bongo.Sasa ndo hivo tena mkataba ushasainiwa na wanakuja iliyobaki twende tu tukawaone kwa vile hata nikisusa kwenda ''wengine'' wataenda hivyo haitasaidia sana.Na mimi nimeona niombe mchango ili niende nipunguze makali ya uchungu angalau kushangilia.Posts kama hizi zinanifanya niamini kwamba Watanzania wengine wamepata uongozi wanaodeserve.
Wewe mtu masikini, unataka kufanya anasa usizoweza. Watu masikini, lakini wanajitutumua kufanya harusi za kifahari.
HALAFU HAPO HAPO UNAOMBA WENGINE WAKUPE MSAADA ILI UFANYE ANASA!!!!!!!!!
BILA AIBU!
Six million US dollars for a one day extravaganza!
From a very poor country nevertheless. And my fellow Tanzanians are extra jubilant over this.
Tanzania, a poor African country with GDP Per Capita hovering around $ 500, half of the hospital beds taken by AIDS patients, with a good number of other patients either sleeping on the floor or sharing beds and therefore sharing communicable diseases, a good percent of primary school students sitting on dirt/ floor due to lack of desks in school, less than 29% percent with access to clean water (Ministry of Water figures, so you know the true figure is half of that, if that) I can go on and on to paint the picture of abject poverty afflicting my country, but I believe you get the picture.
The bottom line is that Tanzania is a very poor country, and bringing Brazil at this cost is irresponsible.
The $ 6m could have funded 90,000 new school desks or 90,000 hospital beds, clean water projects for a good number of villages in rural Tanzania.
Just to put this into perspective, at the official GDP Per Capita of $ 500 (which is buoyed by a few industrialist multimillionaires and thieves in the government) it will take 12,000 Tanzanians to work a full year to cover this cost.
To put this in perspective, if you take the GDP Per Capita (nominal) of the USA to be 50,000 for simplicitys sake (it is around 46,000) and use it in equivalent manhours used to import this irresponsible extravaganza, it will cost the USA around 600 million dollars to play one match. Now even with the relative affluence of the USA compared to Tanzania I doubt people would be enthusiastic to this type of a rip off.
I am Tanzanian, but when I look at our poverty, lack of priority and the gleeful nonchalance that my countrymen adopt, sometimes I am tempted to diss nationalism.
1.This is my chance ndio maana ningefurahi sana kama angalau ningekaa kwenye jukwaa la laki mbili,huko Kamera ya CNN,SKAI NEWS na BBC inaweza kunipitia(sore ofutopiki).
2.Mie sina chochote ndugu yangu ndio maana nikaona niombe mchango,wahenga walisema mficha nanihii hazai.
3.Sijawahi kuingia uwanja huo wa taifa ndio maana nimeomba msaada huu niweke historia achilia mbali kuona mechi za kimataifa(labda kwenye luninga)
4.Nia yangu ni kuona mpira hivyo nikipata free pass nitashukuru pia.(ila hela ya maji ya kunywa uwanjani nayo ni muhimu)
Nadhani nimejibu vema tall.
Nashukuru sana Kiranga kwa moyo huo wa ufianchi lakini naona kama mimi unanionea bure.Pengine ulitakiwa uwe mshauri wa rais wa masuala ya kiuchumi ili at the first place hao Brazil wasije kabisaaaaa hapa Bongo.Sasa ndo hivo tena mkataba ushasainiwa na wanakuja iliyobaki twende tu tukawaone kwa vile hata nikisusa kwenda ''wengine'' wataenda hivyo haitasaidia sana.Na mimi nimeona niombe mchango ili niende nipunguze makali ya uchungu angalau kushangilia.
Samahani lakini kama nimekukwaza.
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.
Dada Mwazani nakushukuru.Mie nimfanyakazi na tena nina kigenge lakini nikichanganya kila mwezi nakuwa na uhitaji.Sasa kama una aidia ya biashara inayoweza kunikwamua nitakutafuta.Lakini mechi ni tarehe 6 hivyo mchango ni muhimu wakati naanza mikakati ya biashara mpya.Shoga unaniabisha.
Anayekufa kwa kiu ziwani huyo ni mzembe.
Wala huna haja ya kuomba michango.
hebu ni'PM nikupatie mbinu ya kuingiza pesa za chap chap.
umechangia JF piaNimetoka kuchangia, kipaimara, Komunio, Harusi, Mchango wa choo cha shule na nyumba ya mwalimu, nimechangia CCM ishinde, nimechangia wahanga wa Mafuriko, send off, Kitchen party, mchango wa ulinzi kwenye mtaa.....sasa mchango wa kuona Brazil naomba unisamehe kwa hili.....
Dada Mwazani nakushukuru.Mie nimfanyakazi na tena nina kigenge lakini nikichanganya kila mwezi nakuwa na uhitaji.Sasa kama una aidia ya biashara inayoweza kunikwamua nitakutafuta.Lakini mechi ni tarehe 6 hivyo mchango ni muhimu wakati naanza mikakati ya biashara mpya.
btw nimekupenda sana kwenye hiyo avatar yako.
Sasa nifanyaje mkuu? hilo la kuwaleta Brazil kwa gharama kubwa ndilo limenikasirisha mpaka nikaamua na mimi kama nikienda itakuwa sio mbaya sana.Kwa vile hata nikisusa kwenda wengine wataenda,hivo bora angalau niambulie fahari ya macho.Rais nishamchamba sana.
Na wewe una wajibu kukataa kuhusika vyovyote na upuuzi huu. Kunatakiwa kuwe na movement ya ku boycott hii mechi kutoka kwa watu wote wasiojiweza kiuchumi wa Tanzania.
Nakushangaa unavyoshabikia kitu ambacho huwezi kukimudu, kitu ambacho kimetumia vibaya hela yako ya kodi.
Hizo $ 6m wangeweza kuwapa walimu raises hata kama ni kwa gesture tu ya ku raise morale na solidarity.
Instead, wanatumia live ammunition against you, na wewe unafurahia kabisa, tena unatafuta kiingilio kwa nguvu.
Ni kama kondoo anayetafuta nauli ili aende machinjioni kuchinjwa.
Rais nishamchamba sana.
Na wewe una wajibu kukataa kuhusika vyovyote na upuuzi huu. Kunatakiwa kuwe na movement ya ku boycott hii mechi kutoka kwa watu wote wasiojiweza kiuchumi wa Tanzania.
Nakushangaa unavyoshabikia kitu ambacho huwezi kukimudu, kitu ambacho kimetumia vibaya hela yako ya kodi.
Hizo $ 6m wangeweza kuwapa walimu raises hata kama ni kwa gesture tu ya ku raise morale na solidarity.
Instead, wanatumia live ammunition against you, na wewe unafurahia kabisa, tena unatafuta kiingilio kwa nguvu.
Ni kama kondoo anayetafuta nauli ili aende machinjioni kuchinjwa.