Eeh nimejua wanaonyesha ulivyoniambia kisa sijalipia decoder nirudi nyumbani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TBC taifa su??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha hahaha
Ndo wamelifikisha taifa hapa lilipo!
Umeanza lini kupiga ramli?Muongooooo
Unafurahi tu kimoyomoyo tunavyofungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mpaka hapa acha tuu nisemeTunaongoza 3-1
Mpaka kawasi wasi kuanza kupoteza mechi kananiingiaIla hawa jamaa wanakuja sana hawa
Mafuta ya kupikia mmepandisha bei, watu tunakula chakula kisicho na mafuta mnategemea tumlaumu nani?[emoji17][emoji17][emoji17]Duh!
Sisi tushakubali lawama. Hata watu wakienda haja choo kikawa hakitoki tutalaumiwa sisi-emu
Nitafanyaje sasa. Haya asante[emoji46][emoji46]Poleeeeee.
HahaahahahahahahahaWewe si umeamua kuwa mzalendo bhana[emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi peke yangu ndiyo siyo mzalendo, naogopa hata.
Hahaahahahah!Hahahahah yeeahhhhhh I knowwww
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uzalendo kwa lazima[emoji17][emoji17]
Game ikiisha sawa???Leo usiku? Sawa ngoja nijiandae.
Sisi mpira tunajua bhanaa[emoji23][emoji23][emoji23]Aah nilikosea nyinyi wakesha 54% sisi stars 46%
Ila ujue Sisi shida yetu maendeleo tuHahahahah ndiyoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpira mshaisha. [emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee
Bado tuna muda lakini
Yaani atari lakini bado ngoja tuoneMpaka kawasi wasi kuanza kupoteza mechi kananiingia