Sawa I will be waiting!!!!Game ikiisha sawa???
Mmmhh Nn tv yako iko nyuma
TayariMpira mshaisha. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo hofu zitafanya star mfungwe la 3
Asante kwa maombi yako[emoji23][emoji23][emoji23]Kenya 8 tz 5
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mimi huyooo[emoji23][emoji23][emoji23].
Nikaanza kumwomba Mungu anilinde barabarani nifike salama.
Maana siku njingine huwa nasali nikiwa njiani sasa Leo nikapata nafasi ya kusali kabla sijatoka.
Hakunaga anachofanikisha yule jamaaBado dakk 3. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kenya 3 - bashite 2
OmoloTunavyojua kuchambua sura za watu sasa...leo sijui ya mchezaji gani itachamuliwa leo
Na kocha akiwa ni Bashite..[emoji23][emoji23][emoji23]CCM imeshakula 3!
Kijukuu cha Mtume Mimi.[emoji23][emoji23][emoji23]Dua zako zinapaaaaaa kinoma
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Moviiie ya bashite imeshafeli. Ndiyo nilitaka kushangaa bashite tangu lini mipango yake ikafanikiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachukia sana wakenya wa aina yako hahahaKumbe haupendi eeeh[emoji23]
Lindo limekuwa chungu
Hahahaahahha!Na nimetoka nje ya shuka.