AiseeeFT
Kenya 3- UVCCM 2
Nahodha wa UVCcm ni Bashite.
Bashite ulitutukana mchana, sasa sijui utatuambia nini watanzania na mambo yako ya kuigawa nchi.
Yaani unasema stars ni Ccm.
I hope Karma saved you what you deserve. Haya kesho basi la SAA 12 urudi [emoji23][emoji23]sorry ndege.
Mkuu, hujamsikia Bashite? Amesema, kwa sasa anachambuliwa yeye na si wachezaji!Tunavyojua kuchambua sura za watu sasa...leo sijui ya mchezaji gani itachamuliwa leo
Hawawezi kunipata. Maana huko duniani namshabikia bashite.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi we unawajua wasio julikana kweli taratibu bado tunakuhitaji ujue
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado dakk 3. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kenya 3 - bashite 2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goal la kwanza manula kazingua
[emoji26][emoji26]
hahaha iyo rangi ni ya ndugu zetu omba omba fc mkuu nayo imechangia pia.Tulilikwisha waonya kuhusu rangi iyoMkuu, kwani rangi ya CCM ni rangi gani?
Haufai wewe 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️Nimekuta aric mond kaelekezea mtambo Tz ni anafyatua tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SikuweziiiiiHahahahah a hahahahah
Chezea Mimi wewe.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakuwa mchaga wa mpakani mwa rombo na Kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi tuchunguze uraia wako
Yaani acha tu mkuu...cjui tumefungwaje hii mechi...Goal la kwanza manula kazingua
[emoji26][emoji26]
Ishia hapo hapohahaha iyo rangi ni ya ndugu zetu omba omba fc mkuu nayo imechangia pia.Tulilikwisha waonya kuhusu rangi iyo
Nafikiri ni muda muafaka sasa ukakague ilani ya ccm huko MisriNasubiri kuona Ilani ya ccm ikitekelezwa kupitia Taifa Stars...
Yetu macho
Nimeamini duhKijukuu cha Mtume Mimi.[emoji23][emoji23][emoji23]