wadada ndio wazuri aisee...kwa mwanaume haifanyi kazi kiivo kama unaona nati zimelegea sawa tu ni upande wako wa mtazamo 🙂, Hakuna mwanaume mzuri acha sisi nati zilegee tu maan ajata kwenye jamii hatuko sawa
by the way Honegerni Hrambee angalau mmejitutumua mmetoka kwa pointi 3 na mmecheza kulinganisha na sisi Taifa starts tunaruka ruka tu japo tuta improve taratibu