Tetesi: - Uwenda ARV za bure kupotea kwenye hospitali za Serikali ikiwa USA haitobadili sera yake WHO
Niliwahi kuandika huu uzi miaka ya 2020. Watu wakanibeza na kufikiri natania ila nataka mjuwe yajayo yanafurahisha kama nilivyokwisha sema Wamarekani wanatupa adhabu ya kimya kimya bilabkupiga kelele na hii ilianza tangua enzi za Baba akiwa hai na this time baada ya vita ya Ukraine wamarekani walisema mataifa yote ambayo hayaku onyesha kupinga hii vita basi wata review terms and condition za misaada wanatupa.
Niliandika kwenye hiyo attachment kiasi gani USA wanachangia hizi dawa na fedha. Kusema ukweli Europ na USA wanatoa misaada sana TZ kiasi hawa jamaa wakiacha support taifa litapita nyakati ngumu.
Arvs za Uganda zitatutoa kamasi. Hili nisiseme sana.
End
Niliwahi kuandika huu uzi miaka ya 2020. Watu wakanibeza na kufikiri natania ila nataka mjuwe yajayo yanafurahisha kama nilivyokwisha sema Wamarekani wanatupa adhabu ya kimya kimya bilabkupiga kelele na hii ilianza tangua enzi za Baba akiwa hai na this time baada ya vita ya Ukraine wamarekani walisema mataifa yote ambayo hayaku onyesha kupinga hii vita basi wata review terms and condition za misaada wanatupa.
Niliandika kwenye hiyo attachment kiasi gani USA wanachangia hizi dawa na fedha. Kusema ukweli Europ na USA wanatoa misaada sana TZ kiasi hawa jamaa wakiacha support taifa litapita nyakati ngumu.
Arvs za Uganda zitatutoa kamasi. Hili nisiseme sana.
End