Kinyungu JF-Expert Member Joined Apr 6, 2008 Posts 19,484 Reaction score 38,416 Dec 7, 2022 Thread starter #2 Tuwe wema jamani...ulimwenguni tunapita tu.
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Dec 8, 2022 #3 Ndio ukweli.. Lakini Mabehewa buyers haiwahusu.
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 8,611 Reaction score 16,118 Feb 3, 2023 #4 Huo Ni ukweli mchungu Sana jamani 🤔
Binadamu Mtakatifu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 4,226 Reaction score 8,879 Feb 3, 2023 #5 Duuh! Basi tufurahi kwa kila goodmoments kadrii tuwezavyo
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Feb 3, 2023 #6 Sorrowful 😔
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Feb 4, 2023 #7 Ni Kweli,lkn hbr Njema ni Kwamba Nitakuwa sijitambui,nitakuwa nipo somewhere nikila upepo mzuriiiii,Limwili langu tu ndio litakalokuwa linaharibika.Hivyo tufurahie Maisha tuliyopewa na Mungu huku tukiishi Maisha mema.Fullstop.
Ni Kweli,lkn hbr Njema ni Kwamba Nitakuwa sijitambui,nitakuwa nipo somewhere nikila upepo mzuriiiii,Limwili langu tu ndio litakalokuwa linaharibika.Hivyo tufurahie Maisha tuliyopewa na Mungu huku tukiishi Maisha mema.Fullstop.
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Feb 4, 2023 #8 Ishini mkiwa wema ili kama kuna cha kupata baada ya kifo mpate yaliyo mema.