mtanganyika mpya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 424
- 302
Hizi hasara za KQ Zasababishwa na ukuuku wa ndege Na njaa inayo lisumbua taifa la middle incomeTuandamane Hadi OR Tambo kuichukua Ndege yetu kutoka kwa tulikomboa πππ
Hizi hasara za KQ Zasababishwa na ukuuku wa ndege Na njaa inayo lisumbua taifa la middle income
Lana hiyo ya Mali ya dhulma inawatafuna hahahahahaha.KQ yazidi kupata hasara ndani ya miezi 6View attachment 1196694
"Hari sio hari" ni kiswahili cha wapi hiki?
New boing ipoSasa Mkulu atatumia Ndege gani kwa ziara zake za "nje" ya Nchi(Dar es salaam) na kuwapeoekea msaada wabukoba wasile kinyesi?