Harjee, aliwahi nieleza, ukiona kiongozi mkuu anasafiri sana ni mipango ya mafisadi katika Serikali yake, na ujue nchi hiyo ina wizi na ufisadi

Harjee, aliwahi nieleza, ukiona kiongozi mkuu anasafiri sana ni mipango ya mafisadi katika Serikali yake, na ujue nchi hiyo ina wizi na ufisadi

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Haya yalikuwa maongezi murua.

Ilikuwa mwaka 2004, pale Ethiopia na huyo rafiki yangu ambae alifika pale kuwekeza kwenye maji hasa maeneo makame.

Katika story tuligusia jinsi viongozi wakuu wa Afrika wasivo na weledi kwa kuiba mabilioni ya wananchi wao na kuwekeza nje ya mataifa yao.

Tukafikia story ya mataifa yenye ufisadi mkubwa ambapo kanuni moja ni kiongozi wa nchi hupangiwa sana safari ili wasaidizi wake wabaki wanafanya ufisadi wa kutisha tena Kwa kujiachia na hasa wale viongozi ambao ni wavivu kusoma taarifa mbalimbali.

Ikatokea kiongozi mmoja wa nchi jirani yeye alikua akipelekewa kitu asaini anauliza hiki si unauhakika kiko sawa akijibiwa mkuu kiko sawa yeye anaanguka saini na wakati mwingine anaomba wasaidizi wageze saini yake ili kazi zisilale.

Siku ile ilikua nzuri sana na toka hapo sikuwahi kuonana na jamaa.

Hivo tukasema nchi zinajengwa Kwa kua na utulivu na plan ya rasilimali za nchi husika kwanza na sio Kwa kukopakopa kila leo ilihali matokeo hayaonekani.
 
Haya yalikuwa maongezi murua.

Ilikuwa mwaka 2004, pale Ethiopia na huyo rafiki yangu ambae alifika pale kuwekeza kwenye maji hasa maeneo makame.

Katika story tuligusia jinsi viongozi wakuu wa Afrika wasivo na weledi kwa kuiba mabilioni ya wananchi wao na kuwekeza nje ya mataifa yao.

Tukafikia story ya mataifa yenye ufisadi mkubwa ambapo kanuni moja ni kiongozi wa nchi hupangiwa sana safari ili wasaidizi wake wabaki wanafanya ufisadi wa kutisha tena Kwa kujiachia na hasa wale viongozi ambao ni wavivu kusoma taarifa mbalimbali.

Ikatokea kiongozi mmoja wa nchi jirani yeye alikua akipelekewa kitu asaini anauliza hiki si unauhakika kiko sawa akijibiwa mkuu kiko sawa yeye anaanguka saini na wakati mwingine anaomba wasaidizi wageze saini yake ili kazi zisilale.

Siku ile ilikua nzuri sana na toka hapo sikuwahi kuonana na jamaa.

Hivo tukasema nchi zinajengwa Kwa kua na utulivu na plan ya rasilimali za nchi husika kwanza na sio Kwa kukopakopa kila leo ilihali matokeo hayaonekani.
Ni ngumu sana watu kuelewa complex language na mixed scernario inayowakilisha matukio halisi. Mimi nimekuelewa vizuri sema umekosea sehemu ndogo tu baada ya kuconclude kwamba mafisadi wanamuandalia safari. Je una uhakika sio kinyume chake? je una uhakika mipango inafanyiwa humuhumu hasa mauzo ya rasilimali na unyakuaji wa fedha na biashara za kimishemishe. Sasa safari hizi zinapangwa strategically kiongozi kwenda kusign au kuhitimisha au kuhakikisha hela zimeingia na dili zimekamilisha. Andiko lako linamuondoa kiongozi husika kama sehemu ya uhovu na hapo ndipo ninakataa scernario yako
 
Ni ngumu sana watu kuelewa complex language na mixed scernario inayowakilisha matukio halisi. Mimi nimekuelewa vizuri sema umekosea sehemu ndogo tu baada ya kuconclude kwamba mafisadi wanamuandalia safari. Je una uhakika sio kinyume chake? je una uhakika mipango inafanyiwa humuhumu hasa mauzo ya rasilimali na unyakuaji wa fedha na biashara za kimishemishe. Sasa safari hizi zinapangwa strategically kiongozi kwenda kusign au kuhitimisha au kuhakikisha hela zimeingia na dili zimekamilisha. Andiko lako linamuondoa kiongozi husika kama sehemu ya uhovu na hapo ndipo ninakataa scernario yako
Inasikitisha sana mkuu kua na celebrate leader
 
Haya yalikuwa maongezi murua.

Ilikuwa mwaka 2004, pale Ethiopia na huyo rafiki yangu ambae alifika pale kuwekeza kwenye maji hasa maeneo makame.

Katika story tuligusia jinsi viongozi wakuu wa Afrika wasivo na weledi kwa kuiba mabilioni ya wananchi wao na kuwekeza nje ya mataifa yao.

Tukafikia story ya mataifa yenye ufisadi mkubwa ambapo kanuni moja ni kiongozi wa nchi hupangiwa sana safari ili wasaidizi wake wabaki wanafanya ufisadi wa kutisha tena Kwa kujiachia na hasa wale viongozi ambao ni wavivu kusoma taarifa mbalimbali.

Ikatokea kiongozi mmoja wa nchi jirani yeye alikua akipelekewa kitu asaini anauliza hiki si unauhakika kiko sawa akijibiwa mkuu kiko sawa yeye anaanguka saini na wakati mwingine anaomba wasaidizi wageze saini yake ili kazi zisilale.

Siku ile ilikua nzuri sana na toka hapo sikuwahi kuonana na jamaa.

Hivo tukasema nchi zinajengwa Kwa kua na utulivu na plan ya rasilimali za nchi husika kwanza na sio Kwa kukopakopa kila leo ilihali matokeo hayaonekani.
Kwa hiyo ameruhusu mpaka saini yake igezewe
 
Back
Top Bottom