Harmo Rapa amemkataa shetani na mambo yake yote, ageukia Kaswida

Mr kiki kwa piki piki

Ila harmorapa ndio analiyelipa nguvu na promo neno kiki kwa wasanii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ujumbe mzuri ila hao wachezaji wameweka uchale usiokuwa na tija yeyote kwa maudhui ya video yenyewe.
 
Kumbe na yeye ni muislam?
 
Kwenye uislam hakuna 'mziki wa dini' yote hiyo kundi lake moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…