Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii chipukizi Harmorapa amefunguka hayo alipokuwa anahojiwa na EATV, pia amesema hana mpango wa kubadilisha jina japo ana bifu na WCB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii chipukizi Harmorapa amefunguka hayo alipokuwa anahojiwa na EATV, pia amesema hana mpango wa kubadilisha jina japo ana bifu na WCB
Kuna ninihamna kitu hapo
Kwa nin usiseme hao wanaojiita WCB ndio wana bifu na Harmorapa wakiongozwa yule mkata mauno..?Ana bifu na WCB
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hizi kiki zitawaua siku si zao
Ukitaka kupotea kimuziki basi weka bifu na WCB (Kiba ni special case kwa hili)
unataka wampe solid time au liquid time sasa??? Yeye ni msanii...he deserve it!!Afu hawa EATV naona wanampat sana huyu dogo airtime