π π π π π π π πMpeni taarifa Le Mutuz, mwambieni mambo ya ze misosi for free.
Mungu ambariki.
Ninyi mnaosema kuna Mambo mengi ya kufanya nje na Hilo analotaka kufanya,,kwanini msifanye nyie!??
Kwanini mnataka kumpangia mwenzenu Cha kufanya???
Ni idea nzuri ila kama angeielekeza kwa vituo vya yatima na wajane or wazee ingekuwa poa sana, maana kugawa tu kwa mtu yeyote inaweza kuwafanya watu wawe wavivu kutafuta, wakitegemea Harmonize aptishe msosi.
Ao kwanini ilo la kusomesha watoto asilifanye yeye ??
Idea ya hivyo ukimpa MTU chakula kwa Siku 1 hujasaidia Bali umeongeza tatizo.
Agawe mitaji kwa hao anaowalenga kuwapatia hicho chakula. Ili wafanye kazi kuzalisha na wao kuwa na uhakika wa chakula kila kukicha.
Asisahau muda mzuri awe anatugawia saa tano au sita asubuhi na asisahau kua anatuwekea na kachumbari pembeni Mungu ambariki sisi tutasubiri tu msosi maana tunauhitaji njaa isituuwe
Asisahau na kuwagawia hela ya bundle ili waendelee kupost mitandaoni.
kumbe ni sasa basi mwambie apo na baba ako kuwa karogwaAcha uzoba...
Hakuna charity hapo...
Wabongo bana.. Mmelogwa!??
Pesa ya bando anatupa ππkonde boy juuAsisahau na kuwagawia hela ya bundle ili waendelee kupost mitandaoni.
Kweli! apeleke kwenye vituo kama vya watoto yatima na wazee, apeleke hata magerezani, mahospitalini na sehemu zingine zenye uhitaji!kugawa chakula me siafiki.
anagawia watu wa aina gani? na usishangae watu wazima wakawa wanapanga foleni msosi wa bure. bila haya.
Apite na huku madongo poromoka nitakua namsubiri na sahani yangu
Mbona yeye hakukupinga? Angesema kwanini unatoa 75K badala yake ungewajengea vibanda vya biashara ungeonaje? Sio showoff kwakuwa hakuna aliyekushuhudia humu kaka.Mm tayari nafanya nimetoa 75K kwa akina mama 20 kwa kila mmoja hapa mtaani miezi mitatu iliyopita baada ya kuona idea yao ya kufanya kazi ya umama lishe ni nzuri. Sema wengine hatupendi showoff
wewe unashindwa nini kupeleka???Kweli! apeleke kwenye vituo kama vya watoto yatima na wazee, apeleke hata magerezani, mahospitalini na sehemu zingine zenye uhitaji!
factNampongeza kwa moyo wa kujitolea. Ila Sustainability ndo tatizo na hawezi kumgawia kila mtu chakula. Angekuja na wazo la kuwasiadia watu kupata kipato endelevu na kisha wakajinunulia chakula ingekuwa vyema.
Kwa wanaume wa Dar kupanga foleni kwenye chakula cha bure hilo linawezekana kabisa ππππkugawa chakula me siafiki.
anagawia watu wa aina gani? na usishangae watu wazima wakawa wanapanga foleni msosi wa bure. bila haya.
Nawewe si ukafanye hivyo vingine? Hivi ni lazima kila mtu afanye vile unavyovipenda wewe? Mi Tanzania bana, shitholes.Kuna vitu vingi vya kufanya kuisaidia jamii badala ya free food