Harmonize aache kuiga iga kwa Diamond

Burnaboy

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2019
Posts
1,070
Reaction score
1,439
Harmonise "MondiRapa"!!! Wanaiga sana mondi. Naona ilianza Harmonize kumkubali sana Mondi toka alipokuwa WCB!!!

Maana kuanzia mziki mpaka swag zake, social media zake, kuanzisha festival, nk yaani kila kitu Hamo anamuiga Mondi!!. Mpaka sehem Mondi alipokuwa akipiga shows zake huko nje Hamo nae yupo mule mule.

Kwa hiyo nje huko bajeti yao ya kumuita Mondi ikipungua wanamwita "MondiRapa"!!!

Mpaka juzi mwenzake kafanya shereh ya kimila kutimiza miaka 10 na yeye kaiga huko kwao kusini!!! Mwenzako hiyo kaiweka kama anniversary we tayari ushaiga!!!!

Harmo na menejment yake wanajitahidi ila wabuni mambo yao mapya kwenye brand yao!!!! Walete vitu vipya kama lile gari la chakula!!!. Waache kabisa kufuatilia anachofanya Mondi, yaan wachukulie kama hayupo.

Hawawezi kuteka soko kwa kumuiga Mondi!! Badala ya kuzidi alipofikia Mondi ataishia kuonekana MondiRapa😂
 
as long as ni mambo mazuri wacha aige tu, sioni tatizo. kama fulani amenunua gari na wewe ukaiga kununua gari tatizo liko wapi?

wakati hao wanaigana we umeshinda jamii forums kuwaanzishia mauzi mengi mengi, hebu kafanye kazi mdada.
 
Nyoosha mikono juu,huku ukijipiga kifuani ukisema kwa sauti kubwa Mimi Ni mchawi eh Mungu nisaidie mwaka huu,,uniokoe
 
Identinty ni kitu kikubwa sana kwenye sanaa, Harmonize kashajishape kama clone ya Diamond since mdogo, hivyo ni ngumu leo kumbadilisha.

Hakuna kitu atakachofanya pekee aone kama ni kizuri isipokuwa kama Diomond ameshakifanya kwanza.

Nilishangaa sana hasa kipindi kile akatoka na Wolper ambaye Diamond alishawahi kutoka naye pia.

Anahitaji management yenye akili na ubunifu, otherwise kupata endorsements zinazoeleweka ni ngumu

All na sisi pia mwaka huu wa 2020 tujitathmini, tuzisake, tutengeneze hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…