Akili za mashabiki wa mondi bwana[emoji134][emoji134][emoji134]
Identinty ni kitu kikubwa sana kwenye sanaa, Harmonize kashajishape kama clone ya Diamond since mdogo, hivyo ni ngumu leo kumbadilisha.
Hakuna kitu atakachofanya pekee aone kama ni kizuri isipokuwa kama Diomond ameshakifanya kwanza.
Nilishangaa sana hasa kipindi kile akatoka na Wolper ambaye Diamond alishawahi kutoka naye pia.
Anahitaji management yenye akili na ubunifu, otherwise kupata endorsements zinazoeleweka ni ngumu
All na sisi pia mwaka huu wa 2020 tujitathmini, tuzisake, tutengeneze hela.
😀😁😁😂😂😂😂😂😂🖕🖕🖕🖕
wewe kula kiporo chako ulale muache mmakonde wa watu atafute rizki zake.Unafikir mi nina shobo kwa mabeberu ka nyie hadi nisapoti mambo yao.... Kama hizo ndo tabia zako ulizoiga usitake kuniambukiza na mimi... Zipeleke huko ukaziendeleze kwenye ukoo wenu.
mhhhh watanzania banaWalichofanikiwa kwa 100% Ni kumuua Kiba. Kiba sasa HV hajulikani alipo. Amekula underground
root source yake kweli kwenye kuimba alikua anamuiga diomond na it seems Diomond alikua ana-entertain hilo ila hili la kufanya shoo tandahimba anamuiga vipi diamond??
kupanda chopa ndiyo amemcopy diomond??
kwenda kwao mwaka mpya ndiyo amemcopy diamond?
kufanyiwa mila ndiyo amemcopy diamond?
shoo za mwezi wa December tu ameshafanya Muscat, Sudani kusini, Mauritius,siera leone , Mombasa, Dubai, nk.
Marahaba!
Labda sijamfatilia sana, au nimeenda na mdundo wa thread, kwa kidogo ninavyoziangalia kazi za Harmonize ni kama anajaribu kutuonesha kwamba chochote Diamond anachofanya hata yeye anaweza kufanya.
Sina uhakika na arrangement za homecoming shows nani alianza kutangaza, by the way bado ni kitu kizuri, lakini issue ya tambiko naona kama ni copycat.
Harmonize anaweza kuwa msanii mkubwa, kama akiamua kuondoka kwenye kivuli cha Diamond, afanye kazi zake kwa kuangalia ratiba yake, na style yake.
Kama nilivyosema, management yenye akili inahitajika. Sasa hivi anaweza akawa unasafiria upepo wa WCB bado, kama unavyojua wabongo tunahitaji kuona challenge mpya. Si ajabu huu upepo wa WCB ukiisha na yeye akatakiwa kusimama peke yake itakuwa tofauti.
Nan kayumba kati ya hao wawili?Kwenye investments za Diamond huyu alikuwa ni dhahabu.
Diamond alikuwa na uhakika kwamba hata akiretire kuna mtu wa kuvaa viatu vyake, WCB ilikuwa kwenye mikono salama. Na nina uhakika Diamond alikuwa akimwangalia Harmonize anajiona ndani yake.
Sasa hivi inabidi Diamond mwenyewe achakalike mwenyewe, hana luxury ya kupumzika kama aliyokuwa nayo kipindi wako na Harmonize.