Harmonize acha kutafuta public sympathy.Hii itakugharimu in long run

Unafikiri amesoma vitabu gani akafikia hapo alipo sasa hivi? Kweli kuna umuhimu, na ni vizuri kusoma vitabu lakini sio kila changamoto inatatuliwa kwa vitabu.

Kwa mbali naona kama haukutegemea hali kuwa shwari na ushirikiano uliopo. Watu wangefurahia mvurugano na tafrani kwenye huu mchakato lakini imekua tofauti.

Pia nikukumbushe, kutokuujua mkakati wa mtu, haimaanishi hana au alionao ni mbovu, subiria matokeo.
 
Mtoa mada anataka kutuaminisha kuwa WCB ndio inamfanya msanii awe mzuri, ho si ukweli mbona msanii wao wa kike Queen Darlin hafurukuti? Ametoa wimbo wake hata media za vichochoroni haupigwi, mbona asiwafunike kina Nandy, Ruby , Vanessa na wengine wengi?! Acha konde boy atoke WCB akatafute maisha, kama alitoka Kijijini kwao peke yake na amefanikiwa jua ni juhudi zake binafsi.
 
Harmo ametoka wcb na nyimbo zake zote nimefuta kwa simu yangu..[emoji23][emoji23][emoji57]
Shem naona umeamua kuwawekea pua..ili siku likitoka lakutokea wawe washaozoea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Pole Sana.Unaangalia Mambo kwa upeo mdogo,hata mfano wako ulioutoa haulingani kabisa na nilichaondika mimi hapo juu.Hebu jaribu kuwaza mbali sana utaona ninachojadili

Ngoja nikufungue akili kidogo.
Diamond aliwekeza pesa,muda kwa Harmonize kwa muda mrefu kwa lengo la kupata return kwa siku za usoni.Kile alichofanya Diamond ni kuwekeza pesa kwa Harmonize (asset) ili amuingizie pesa.
Sasa Basi kitendo cha Harmonize kuondoka/kujitoa means ameondoa asset ambayo diamond aliiweka kwa akili ya kawaida ambayo haitaki kuwa akili kubwa utajuwa nini kitafuata baina Yao.
Ni mgongano wa kimasilahi only fittest shall survive.
 
Shem naona umeamua kuwawekea pua..ili siku likitoka lakutokea wawe washaozoea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimejihami mapema
 
Kwa nini unataka kulazimisha kuwa Konde kuondoka wasafi ni jambo la ugomvi? Kwa nini uone kuwa Diamond kapata hasara? Kuna mikataba kama kuna ambacho Konde anatakiwa kulipa wamdai alipe, ndugu we, hata wakoloni walifanya mambo ya maendeleo sana Afrika laikini kuwa mtumwa hata kama una pata kitu kikubwa haina amani kama kuwa huru. Umesha kaa na Konde boy ukamuuliza kwa nini kaondoka wasafi? Kwa nini unataka faid ya Mondi tu? Acha kulazimisha vita.
 

Jaribu kusoma btn the line utaelewa ninacho preach hapa.Sijasema kuwa wasafi wanafanya msanii awe mzuri la hasha Bali wameandaa mfumo ambao hata wasanii wabovu wanaojuwa afadhali.

Naunga mkono uamuzi wa Harmonize kujitoa wasafi lakini sikuliane naye strategies anazotumia.
 
Wewe ulitaka atumie mfano gani? Mbona hamkumshauri ajiunge why mnakomaa alivyo amua kuondoka? We unadhani WDC haijarudisha uwekezaji wao kwa Konde boy? Acha aende WCB wasajili mchezaji mwingine kazi haiwezi kusimama. Acha konde afurhie uhuru wake nani hataki kuwa bosi?
 
Nikki wa pili ni msomi lakini mistari anayoitunga ndo ile inapiga sarakasi...
 
Kwenye suala la queen darling umechemsha kulizungumzia nimekuwa nikifatilia interviews nyingi za diamond akitaja wasanii wake wa wcb Mara nyingi jina la dada yake alitajigi hata baadhi ya ngoma za dada yake azipost kwenye mitandano yake ya kijamii lakini pia hata invest zake za video ni ndogo compare other WCB artists dada yake hajawai hata kumtafutia collabo moja ya international artist hii ni tofauti na wasanii wengine wa wasafi wanapewa international artists.Haya ni machache utagundua diamond mwenyewe hamkubali dada yake ila yupo tu cos ni ndugu yake ndomaana hafanyi vizuri cos hampushi Kama alivyokuwa anawapushi harmonize,mboso, rayvanny na lavalava.
 
Harmonize baada ya kujitoa WCB ndo nimegundua ni kwanin mziki wetu haukui,Huu mziki wetu kumbe kuna watu wana uongoza,Ili uweze kusikika ni lazima jasho lako liliwe ndo uta enda nao sawa,Sitokuja kumkubalia mwanangu au ndugu yangu yeyote kujihusisha na mziki akiwa hapa bongo,Harmonize huu ni wakat wake kabisa wa kujitoa wasafi cz kawapa faida kubwa so sion sababu za kumuwekea chuki,Mtoa uzi umeongea kitu cha maana sana hususa ni kwa nchi zingne ila kwa hapa bongo utapingwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…