Kweli kabisa kutofautiana na mtu kupo katika maisha. Diamond mwenyewe alitofautiana na clouds wakati walimsapoti kwa namna moja au nyingine, hata kama mchango ulikuwa mdogo lakini na yeye alishikwa mkono. Harmonize ni maisha yake hakuna wa kumpangia cha kufanya. Kumpost au kutokumposti sio ishu..Hlf ukimtoa mtu haimaanishi basi siku zote atakaa anakutegemea ww tu. Itafika point nae akaweza kusimama peke yake na kufanya yake.
Hakika huku ni kukosa fadhila.
Hivi Harmonize hakumbuki Diamond Platnumz amemtoa wapi mpaka hapo alipofikia,yani neno dogo tu la kumpa hongera na kumtakia mafanikio mema bosi weka linamshinda.
Dogo anapotea vibaya sana kwa mwendo huu .
Wasanii wenzake akiwemo Rayvann ,Lava Lava ,Mbosso ,Dulla Makabili hawakusita kutoa ya moyoni kwamba siku zote waja tukumbuke tulipotoka na watu waliotusaidia, dharau, kiburi na majivuno havifai haswa kwa mtu aliyekushika mkono kipindi ambacho ulioonekana si chochote wala si lolote mbele ya jamii inayokuzunguka.
HAPPY BIRTHDAY BOSS DIAMOND PLATNUM, ulipo tupo.View attachment 1221732
Hivi unajua chanzo cha Diamond kugombana na Clouds media ni kumpambania Harmonize?Kweli kabisa kutofautiana na mtu kupo katika maisha. Diamond mwenyewe alitofautiana na clouds wakati walimsapoti kwa namna moja au nyingine, hata kama mchango ulikuwa mdogo lakini na yeye alishikwa mkono. Harmonize ni maisha yake hakuna wa kumpangia cha kufanya. Kumpost au kutokumposti sio ishu..
WCB wamemfanyia hujuma nyingi Hamo...walimpa kitoyota Mark X alipe kwa installment zaidi ya thamani ya gari alilipa hela yote at once....kwangwaru alipanga kufanya na Davido..mameneja uchwara wakamwambia Domo dogo atakufunika ngoma kali sana...album yake wakaibania..hivi wazazi wako wakiwa wachawi wanakuulia watoto wako utawapenda pamoja walikuzaa...
Kweli kabisa.Hivi unajua chanzo cha Diamond kugombana na Clouds media ni kumpambania Harmonize?
Yeah watanzania ni wanafki sana hili hawalioni tangu Harmonize ajitoe wasafi nasikia sikia nyimbo zake zinapigwa sana Clouds..eti Clouds mara hii wanamuona lulu Harmonize😂😂😂...watanzania ni wanafki sanaKweli kabisa.
Ishu ilikuwa kuhusu malipo,Diamond alikuwa anampambania jamaa aongezewe pesa maana kwenye show kulikuwa kuna madansa pia,
Ruge akamwambia mimi madansa siwatambui ninawatambua wasanii pekee ishu ya madansa hainihusu.
Diamond akamwambia kwamba msanii yeyote yule wa WCB akipanda jukwaani lazima apande na madansa ili kunogesha shoo, sasa na madansa lazima wavae wapendeze ,hivyo ndio maana gharama zao zipo juu.
Ruge akaagiza kamati inayohusika na masuala ya entertainment wafute jina la harmonize na kuanzia siku hiyo hakuna kupiga wimbo wowote ule wa msanii wa WCB wala kuwapa airtime yoyote ile
Vipi kama amemtakia kwa direct message au ameenda nyumbani kwa diamond moja kwa moja kumtakia kheri ya siku ya kuzaliwa