Harmonize amshukuru Diamond

Harmonize amshukuru Diamond

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Kupitia Instagram ya Harmonize, Harmonize ameanza mwaka mpya kupitia kuandika ujumbe wake mrefu aliomuandikia Diamond kutoa appreciation yake kwa alichomfanyia mpaka kufika hapo alipo.

NB: Kiukweli jamaa kafanya Jambo zuri kama alichokiandika kinatoka moyoni maana watu wa Mtwara hawaaminiki Sana mambo ya vijembe na majungu hayafai kwenye mziki lakini hii itamsaidia kuwawin fans wa Wasafi maana jamaa alikuwa anashambuliwa sana mtandaoni.

A1202C6A-A1B1-43C6-A31F-81C34040CE9F.jpeg
 
Kupitia Instagram ya Harmonize, Harmonize ameanza mwaka mpya kupitia kuandika ujumbe wake mrefu aliomuandikia Diamond kumuomba msamaha na kutoa appreciate yake kwa alichomfanyia mpaka kufika hapo alipo.

NB: Kiukweli jamaa kafanya Jambo zuri kama alichokiandika kinatoka moyoni maana watu wa Mtwara hawaaminiki Sana mambo ya vijembe na majungu hayafai kwenye mziki lakini hii itamsaidia kuwawin fans wa Wasafi maana jamaa alikuwa anashambuliwa sana mtandaoni

Dogo ni mnafiki sana yule, sana.

Yaani umetoa ngoma mbili ndani mfululizo za kumtukana mtu, tena moja haijamaliza hata wiki eti Leo unaomba msamaha
 
Kupitia Instagram ya Harmonize, Harmonize ameanza mwaka mpya kupitia kuandika ujumbe wake mrefu aliomuandikia Diamond kumuomba msamaha na kutoa appreciate yake kwa alichomfanyia mpaka kufika hapo alipo.

NB: Kiukweli jamaa kafanya Jambo zuri kama alichokiandika kinatoka moyoni maana watu wa Mtwara hawaaminiki Sana mambo ya vijembe na majungu hayafai kwenye mziki lakini hii itamsaidia kuwawin fans wa Wasafi maana jamaa alikuwa anashambuliwa sana mtandaoni
Heading yako ni kama ina upotoshaji. Ungesema harmonize kamtumia best wishes Diamond.
 
Harmonize itakuwa wakat wa mkesha k vant ilimkolea si mnajua ile kitu kwa kupelekeshana kuomba msamaha
 
Kuomba msamaha ni kipimo cha uungwana sana hongera kwake Rajabu
I hope atayamaliza na mke wake pia kwa kuomba radhi ndoa ile changa isivunjike
Ni kipimo cha uungwana zaidi endapo itakuwa kweli mlipishana maneno na mtu mkagombana.

Laiini wewe unapiga majunguu mitandaoni peke yako tyuuu mwenzio yupo kimya alafu unaibuka unaomba radhii,how come ?
 
Ni kipimo cha uungwana zaidi endapo itakuwa kweli mlipishana maneno na mtu mkagombana.

Laiini wewe unapiga majunguu mitandaoni peke yako tyuuu mwenzio yupo kimya alafu unaibuka unaomba radhii,how come ?
Hadi ameomba radhi mitandaoni anajua alipokosea. Na ni kitu cha faraja zaidi ya kuchukia na kumsema
Kikubwa ni moyo wa kuomba msamaha kwanza, hayo mengine wanajuana na kaka yake
 
Hadi ameomba radhi mitandaoni anajua alipokosea.
Kikubwa ni moyo wa kuomba msamaha kwanza, hayo mengine wanajuana na kaka yake
Yap ni jambo zuri lakini jamaa naona kama angejitahidi sana kuzuia mdogo na vidole vyake.

Kaiga mengi kwa daimond aige pia roho ya diamond ya kutokuwa mgomvi na majungu ya waziwazi
 
Mwambie Akazane kufanya Kaz nzuri
 
Kakubali kushindwa baada ya kuona anaanza kushindwa na wakina Zuchu
 
Back
Top Bottom