Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaSiyo mbaya mwanetu anaitafuta njia ya yeye kufikia pale anapopata na chance kama hizi ndo zinazompa iyo nafasi nadhani baada ya wema huu labda kuna jambo litakuja kutokea baina yao hawa wawili
Usiku huu Harmonize amemwekea dhanan msanii mwenzie wa Nigeria aliyekuwa akishikiliwa na jeshi la polisi la Tanzania
Harmonize ameweza kumdhamin kizz Danièl na kuondoka naye kutoka kituo cha polisi usiku huu
Jamaa yuko vizuri.Kho kho yaw yaw
Nfg yangu wasanii wa Nigeria na Kenya kamwe usitegemee watapoteza muda wao kuja kukutoa polisi sahauBinafsi naona alichofanya Harmo ninsawa maana wote ni wasanii na hawezi pia yeye atapatwa na nini akiwa nchi zà watu na nani atamsaidia
Alikuwa na show,kalipwa pesa yote,lakini amefika Tanzania kwa kuchelewa,bahati mbaya begi lake alisahau Uganda hivyo akakosa nguo za kuvaa kwenye onesho.Kwa sababu hiyo hakupanda jukwaani.Juhudi za kumtafutia nguo nyingine zilifanyika lakini alikataa nguo zote zilizopatikana.Huyo kizzy alifanya nini hadi kusweka rumande