Harmonize anahitaji sana ushauri wa kisaikolojia

Harmonize anahitaji sana ushauri wa kisaikolojia

Mallia

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
437
Reaction score
1,562
Usiku wa jana kijana Harmonize kuna video zilisambaa na picha akionyesha kumsujudia Madam Ritha angalia hiyo picha hapo


Screenshot_20220314-133908_Instagram.jpg

Chanzo cha kumuabudu mwanadamu mwenzake anasema eti Madam Ritha baada ya kumkataa bongo star search ndio amemfanya afike hapo alipo

Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana mpangilio mzuri wa kuachia nyimbo yaani anatoa nyimbo kila wiki or mwezi ilimradi tu ametoa nyimbo yeye twende, mwisho wa siku anaachia kazi mbovu

Mfano hii juzi aliyotoa anaita bakhresa, kwa sasa amekuwa akishindana na Diamond akiona mwenzie katoa nyimbo na yeye lazima ataingia studio atatunga ugoro wowote tu ilimradi ashindane mwisho wa siku hamna lamaana

Bwana mdogo anahitaji management nzuri ya kumshauri kuachana na mziki wa majungu anatakiwa atafute wanamziki nnje ya tazania afanye nao colabo mzki uvuke nnje apige hela, akiendekeza miziki ya majungu atashuka na kuwa mwanamziki local wakati alishaanza kupaa kimataifa
 
Shida kubwa Kwa mmachinga huyu ni kuachana na diamond that's all.

Diamond haongei,(hamuitii media) hii dharau kubwa Sana Kwa chinga boy. Mara nyingi ukiongea na MTU hakujibu inauma Sana..

Madem let say wote kama unamtongoza na anakaa kimya aise unaweza ukamuua.

Ni Bora ajibu uone direction Sasa chinga hajibiwi, hata kama momd anatafuta wa kutoa Majibu it's better ujishushe uwe na ordinary people kuliko kujikweza na kijitutumua kushindana na tembo
 
Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana mpangilio mzuri wa kuachia nyimvo yaani anatoa nyimbo kila wiki or mwezi ilimradi tu ametoa nyimbo yeye twende, mwisho wa siku anaachia kazi mbovu mfano hii juzi aliyotoa anaita bakhresa, kwa sasa amekuwa akishindana na Diamond akiona mwenzie katoa nyimbo na yeye lazima ataingia studio atatunga ugoro wowote tu ilimradi ashindane mwisho wa siku hamna lamaana
Inamaana hujaona mafanikio ya wimbo wa Bakhresa ?

matajiri.png
 
Harmonize anapenda kuonekana yeye ana roho nzuri sana kweny macho ya watu ili mtu fulani aonekane mbaya ila ni vizuri kuwa real katika maisha

Ndo maana namkubali king kiba kwa sana ila harmonize akiona diamond kamsusa baba yake yeye anajifanya anaonyesha jinsi mapenzi ya wazi kwa baba yake mbele ya media anachosahau wamelelewa tofauti

Hapo anajifanya ana shukrani sana mbele za watu ila nyuma ya pazia huyo mbibi walimponda akiwa katika BSS
 
Usiku wa jana kijana Harmonize kuna video zilisambaa na picha akionyesha kumsujudia Madam ritha angalia hiyo picha hapo
View attachment 2150605

Chanzo cha kumuabudu mwanadamu mwenzake anasema eti madam rita baada ya kumkataa bongo star search ndio amemfanya afike hapo alipo

Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana mpangilio mzuri wa kuachia nyimvo yaani anatoa nyimbo kila wiki or mwezi ilimradi tu ametoa nyimbo yeye twende, mwisho wa siku anaachia kazi mbovu mfano hii juzi aliyotoa anaita bakhresa, kwa sasa amekuwa akishindana na Diamond akiona mwenzie katoa nyimbo na yeye lazima ataingia studio atatunga ugoro wowote tu ilimradi ashindane mwisho wa siku hamna lamaana

Bwanamdogo anahitaji management nzuri ya kumshauri kuachana na mziki wa majungu anatakiwa atafute wanamziki nnje ya tazania afanye nao colabo mzki uvuke nnje apige hela , akiendekeza miziki ya majungu atashuka na kuwa mwanamziki local wakati alishaanza kupaa kimataifa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Screenshot_20220314-221929.jpg
 
Usiku wa jana kijana Harmonize kuna video zilisambaa na picha akionyesha kumsujudia Madam ritha angalia hiyo picha hapo
View attachment 2150605

Chanzo cha kumuabudu mwanadamu mwenzake anasema eti madam rita baada ya kumkataa bongo star search ndio amemfanya afike hapo alipo

Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana mpangilio mzuri wa kuachia nyimvo yaani anatoa nyimbo kila wiki or mwezi ilimradi tu ametoa nyimbo yeye twende, mwisho wa siku anaachia kazi mbovu mfano hii juzi aliyotoa anaita bakhresa, kwa sasa amekuwa akishindana na Diamond akiona mwenzie katoa nyimbo na yeye lazima ataingia studio atatunga ugoro wowote tu ilimradi ashindane mwisho wa siku hamna lamaana

Bwanamdogo anahitaji management nzuri ya kumshauri kuachana na mziki wa majungu anatakiwa atafute wanamziki nnje ya tazania afanye nao colabo mzki uvuke nnje apige hela , akiendekeza miziki ya majungu atashuka na kuwa mwanamziki local wakati alishaanza kupaa kimataifa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app

Possessed
 
Back
Top Bottom