Harmonize ashauriwe sasa Kiki zimezidi hadi zinaboa

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Kuchukulia positive au negative ni juu yake na Management yake ila kimsingi anaboa sasa na ndiyo ukweli wenyewe japo mchungu.

Dogo kazidisha kiki hadi umegeuka utoto hata anachokifanya kwenye muziki hakisikiki wala kueleweka tena.

Call a spade a spade.

Kama vipi tuanzishe Industry nyingine ya Kiki huko atatoboa.
 
MAISHA YA STRESS NA MADENI MABAYA SANA. ANATAFUTA KIKI KUONEKANA NAE YUPO ILA HI. NI MBAYA MNO. AFU KUNA ZA NDAAAN8 KABISA
 
Nadhani kiki zinamsaidia kwa namna fulani,sasa isingekuwa kiki angeimba wimbo ule aliomuimbia kajala ? ,haya mambo ya kiki Harmonize anayaweza sababu anatengeneza kazi

Mimi naupenda ule wimbo amenuimbia kajala na pia niseme tu kwamba jamaa ana kipaji, Labda useme apunguze lakini sio aache kiki sababu zinamfanya anatengeneza kazi nzuri
 
Pata pesa tujue tabia.
Mimi pesa sina, ila sijui siku nikizipata itakuwaje!?
 
Kajala nilimdadavua nikaona Dem wakawaida Sana.

Wapo wakali na wananyota hatar sijui anahainga nini
 
Sasa si karithi kwa boss wake wa zamani na hajamfikia hata robo.
 
Ndiyo style yake, mambo yake muachieni mwenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…