Harmonize atangaza vita rasmi na WCB

Umetema Pumba tu kwa kuangalia upande wa Mond, angalia chawa na Meneja uchwala wa Mond wanavyomtupia vijembe, Konde hajamtaja Mond anawajibu hao Viherehere
 
Walianza wenyewe kumkejeli kuanzia meneja wao yule mwenye manyonyo hadi chawa wao. Kuna yule Juma lokole sijui yani anamkejeli harmonize kila siku. Mwacheni na yeye ajibu wamezidi kumkejeli. Yani kundi zima linapambana na mtu mmoja. Aibu!
Meneja mwenye manyonyo[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…