Mkataba wa mtu ni kitu private mkuu,unless km kaupost bila hvyo tutakua tunajadili umbea
inategemea na terms za mkataba....Mahakama ndo itasema na wao WCB wathibitishe kuwa wana haki na
account binafsi za wasanii
Akibisha atakiwa na lake.Mkataba wa mtu ni kitu private mkuu,unless km kaupost bila hvyo tutakua tunajadili umbea
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.
Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.
Ndiyo muache kujifanya kusaini vitu msivyo vijua yaani unasaini mkataba bila kuwa na mwanasheria atake kuja kukusaidia hapo mambo yatakapo kuja kubuma..... Huyu dogo atulie tuliii!!!1B toooo muuuch..Tale,Fela na Salam waache roho ya kwa nini
1Billion labda agongee kwa Bibi wa Ki-ItalianoMavoko alitoa bilion ngapi?
Sijajua Copyright za nyimbo zake,lkn acc zote Youtube na Instagram zipo chini yake Harmonize na ndio maana nyimbo yake aliyofanya na Eddy Kenzo aliiupload katika hiyo account yake ya youtube na kuifanyia promo katika account yake ya Instagram.Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.
Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.