Harmonize hajafanya ubaya

Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
Uzuri jf inatunza kumbukumbu...hii comment yako naihifadhi
 
Kumbe Harmonize ni Mmakonde [emoji15][emoji15][emoji15] kwahiyo anakwenda kuanzisha Konde boy?
Namuonea huruma msanii yeyote ambae ni msukuma akijitoa kwenye kundi! Maana sijui atakwenda kuanzisha nini?![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Hivi we unatumia kigezo gani kuwa diamond alishakuwa chini ya kiba go to hell brother.
sina muda wa kudiscuss ujinga wa team, kama bado unahisi kiba ana mafanikio kuliko diamond toka nje ya bongo uone, uliza alikiba nani kama kuna anayemjua. Hell unapajua wewe? stupid
 
sina muda wa kudiscuss ujinga wa team, kama bado unahisi kiba ana mafanikio kuliko diamond toka nje ya bongo uone, uliza alikiba nani kama kuna anayemjua. Hell unapajua wewe? stupid
Toa umbumbumbu hapa eboooooooooh
 
Huko south Sudan hawaijuw wcb na amejaza kuliko mtuu yeyote Bongo ata wasafi festival haijawahi pata ... Yeye huwa haimbi nyegezi ao vumbi atatoboa tu
Kama hawaijui wamewezaje kujaza we mtie ujinga tu
 
Kama hatakuelewa anguko lake ni kuu
 
wewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina Bestnaso
Imekufa kabakia kusuka sijui kalikiti na kujiona mrembo basi
 
Ninyi mpeni kichwa tuu but msisahau kum support maana team WCB washaanza kum unfollow tyr wanarudi kwao Team WCB. Kwa iyo konde inabidi aanze tafuta Team KondeGang yake.
 
Toa umbumbumbu hapa eboooooooooh
umbumbumbu wa nyumbani kwako.
ahh sorry nilisahau huna nyumba umefulia, haya nenda kanyonye maziwa kwa mama.
usijisumbue kureply maana after this ninakublock, sina muda na wajinga
 
umbumbumbu wa nyumbani kwako.
ahh sorry nilisahau huna nyumba umefulia, haya nenda kanyonye maziwa kwa mama.
usijisumbue kureply maana after this ninakublock, sina muda na wajinga
MH yamekuwa hayo tena.......
 
Achen kujenga negativity katika ubongo wenu ukimtegemea mtu huyo huyo atakupandisha na kukushusha wache konde boy ajaribu maisha nje ya wcb msituni usio ujua huwez fahamu undani wake[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 

Mbona unaongea Kwa jazba sana Chief...Ww ni team Kiba sio bure!
 
Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.

Wcb ni kama familia yako ww na Mme wako...kila mtu akiamua kufanya anachotaka yeye trust me hamtakuwa na Familia bora...Husimshauri ujinga mmakonde....Kumbuka kuna watu wanamwombea mabaya mengi ashuke kimziki waanze kumsema hasa Salama Jabir na MastaJ.Rejea Kipindi katoka bush akaja test zali Bongo star sachiiii!
 
Duh hahahaha chuki Bana ..ata uyo diamond kwa sasa hamfikiyi harmonize ..yeye huwá haimbi vumbi ao nyegezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…