Uzuri jf inatunza kumbukumbu...hii comment yako naihifadhiHarmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
Eti domo!!! Ni chuki tuu.Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
Ni kwa mtazamo wako. Usituaminishe na sisimavoko hakuwa hata na collabo hapo Kenya unamlinganisha na harmonize?
Naona mna zidi kumwagia petrol kwenye moto
sina muda wa kudiscuss ujinga wa team, kama bado unahisi kiba ana mafanikio kuliko diamond toka nje ya bongo uone, uliza alikiba nani kama kuna anayemjua. Hell unapajua wewe? stupidHivi we unatumia kigezo gani kuwa diamond alishakuwa chini ya kiba go to hell brother.
Toa umbumbumbu hapa ebooooooooohsina muda wa kudiscuss ujinga wa team, kama bado unahisi kiba ana mafanikio kuliko diamond toka nje ya bongo uone, uliza alikiba nani kama kuna anayemjua. Hell unapajua wewe? stupid
Kama hawaijui wamewezaje kujaza we mtie ujinga tuHuko south Sudan hawaijuw wcb na amejaza kuliko mtuu yeyote Bongo ata wasafi festival haijawahi pata ... Yeye huwa haimbi nyegezi ao vumbi atatoboa tu
Kama hatakuelewa anguko lake ni kuuKwa nini kuondoka Harmonize mnachukulia kama vita.Mimi mwenyewe nafurahi Harmo kujitegemea mwenyewe ,tatizo je amejipanga kwa fitina ?Usimwone Mondi ana shine jua nyuma ana watu wanampigania je yy anao?Kama anao ni kitu kizuri kama hana yy ndiye atakaye umia.Msimwone Belle 9 yupo kimya mkazani hana uwezo bali hana watu wakuupigania mziki wake.
Kuwa chini ya label ni kitu kizuri sana ,haswa kwa wenzetu US,Drake yule pamoja na kuwa na utajiri mkubwa,label yake ya OVO lakini bado yupo chini ya YCMB,we unazani kwa nini Drake hajaondoka YCMB label ya Lil Wyne na Birdman?
Kanye west ana label ya Good Life,ana brand ya Yeezy ambayo thamani yake ni zaidi ya USD 1 bilion,lakini pamoja na utajiri wake bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z,hujajiuliza kwa nini Kanye bado yupo chini ya Roc nation?
Rihanna sasa hivi networth yake USD 600m baada kama ya miaka mitatu au miwili atakuwa na USD 1bil ,lakini bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z,wewe unazani kwanini Rihanna,Drake,Kanye West na hata Nick Minaj pamoja na utajiri wao lkn bado wapo chini ya label?
Label zina umuhimu wake sana sababu katika Industry hizi za Music kuna FITINA na KUBANIANA ,kwani kuna watu wakali lkn hawana watu wa kupush mziki wao.
Miaka ya nyuma kulikuwa na mwanamziki wa RnB Bob Valentino alivuma sana alipokuwa chini ya DTP Ludacris,baadaye akaondoka akamwambia Luda anataka kujitegemea,baada ya hapo Bob V akapotea mazima.
Vile vile kulikuwa na Rapper Chingy nae alikuwa DTP akazinguana na Luda,akwambia yeye anaondoka anataka kujitegemea Ludacris kamruhusu nae akapotea mazima
na nasikia hata Runtown wa Nigeria kapotea baada ya kuondoka kwenye Label.MTV | Homepage - Shows & Schedules
MTV brings viewers the best in lifestyle and competition reality shows, plus live events featuring the biggest names in entertainment.www.mtv.com
Kuanzisha label au kujitegemea sio swala baya kwani hata yy anaweza wafungulia mlango wengine,lkn je amejipanga,mziki huu mgumu kwani umejaa fitina ,unahitaji watuwanaojua industry ili upush kazi zako.
Na ndio maana pamoja na kuwa na mihela yao wakina Rihanna,Kanye,Drake na Nick Minaj bado wapo chini ya Label.
Na Mziki wa Tz sasa hivi una hali mbaya yaani washikadau wamewagawa mashabiki,siku hizi team za kwenye mziki wetu,hazina utofauti na ushabiki wa Simba na Yanga,ili upate support unatakiwa uwe ndani ya hizi team,ukiwa nje umekwisha mfano tu Baraka da prince na Mavoko tushaanza kuwasahau.
Imekufa kabakia kusuka sijui kalikiti na kujiona mrembo basiwewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina Bestnaso
umbumbumbu wa nyumbani kwako.Toa umbumbumbu hapa eboooooooooh
MH yamekuwa hayo tena.......umbumbumbu wa nyumbani kwako.
ahh sorry nilisahau huna nyumba umefulia, haya nenda kanyonye maziwa kwa mama.
usijisumbue kureply maana after this ninakublock, sina muda na wajinga
Achen kujenga negativity katika ubongo wenu ukimtegemea mtu huyo huyo atakupandisha na kukushusha wache konde boy ajaribu maisha nje ya wcb msituni usio ujua huwez fahamu undani wake[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Siku akitoka WCB huyo harmonize atasahaulika.
Mjazeni kichwa Kama mlivyofanya kwa mavoko.Mziki ni zaidi ya kuwa na uwezo wa kufanya mziki mzuri, maana hata huyo Harmonize hawezi gusa Moto wa watu Kama Ben pol na Belle 9. japo Kibiashara anawakimbiza.
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi mana yeye sio muimbaji wa nyegezi ao vumbi ...ndo msani peke wa bongo anaye imbaga vya kueleweka tena vya mana jama kasimama imara ..haitaji wcb fan kwa kutoboa mana huko south Sudan kajaza na Kenya huwa anajaza so riziki agawa Mungu sio hivyo vi team uchwara vinavyo ongeya nonsense ... Harmonize atabaki kuwa Harmonize ... Dogo wametaka kumziwiya kutoa ngoma ..matatizo yote yalitokeya wakati wa ngoma za EP aliyo mshirikisha burnaboy inama na niteke ..wcb wamezichelewesha sana hadi ikawa ugomvi mana walikuwa hawataki mpinzani wa tetema na nyegezi ... Kiukweli Domo keshapata sana tu ila jama Ana tama sana ... Hadi goma lake lichache ndo aachiye wengine watowe ... harmonize ni level nyengine sio kama Kina rayvan na mbosso ...Jama yuko makini sana na ata washangaza sana .. ipo siku tutamuelewa ...Go go jeshi KondeBoy
Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
PuuuuMunyankole huyu msamehe tu.
Kwan south Sudan walienda kumwangalia harmonize, hyo ilikuwa event ya kitaifa na ilikuwa free-entry...mpunga alipewa na serikali ya south Sudan, Nina mashaka na uwezo wa kondeboy kufight nje ya wcb, mziki wa tz una mambo mengi, fitina, ndumba, unafiki na kubaniana kwingi....
Mi naona afanye mipango yake, ajitanue awezavyo, apambane vya kutosha lakn asitoke nje ya WCB, asione kama wanamnyonya Sana, wamemtoa mbali na ni halali Yao kumfaidi mana na yeye anafaidika....konde mboy hawez kumfikia hata barnaba classic, lebel ndo inamnyanyua