Harmonize huku ni kulewa sifa sasa

Hili lina ukweli ndani yake. Mfano ishu ya Rich Mavoko kiasi hata mimi ilinikwaza. Hapaswi kuwa chanzo cha habari cha WCB kana kwamba yeye ndiye msemaji wa WCB. Kiuhalisia inaweza hata kuja kuvuruga baadhi ya mipango ya WCB.
 
Nasikia kwenye East Africa radio alihojiwa na Dullah,
Akasema wimbo wa Badoo eti Diamond alikua na stress za mapenzi ndio akaandika mashairi yale yenye hisia kali.

Pia alitukana tusi kubwa,

Kumbe ndio zake kutoa siri za kampuni!
 
dogo bado ana akili ndogo sana hajui muziki anahitaji kuongozwa bila hivyo atakua historia tu
 
Usipate shida, dogo kinachomsumbua Ni ushamba maana amepata kuliko alivyotarajia.....!
Angalau leo umeandika maneno mawili matatu [emoji3] [emoji3] [emoji3], nilitegemea nitakutana na neo "Sawa" .
Back to the thread, ni kweli huyu harmonize ni tatizo jamani, ana attitudes fulani fulani hivi sio nzuri (on my point of view) kama uongozi wa WCB unapita hapa itabidi masuala ya msingi aloleta mtoa mada yafanyiwe kazi hasa suala la Uropokaji kwenye medias.
#WCBFAN#.
 
Nitoe mimi mkuu,nimewahi kuuona huo wimbo mara moja kwa TV sikuelewa wameimba makorokocho gani hadi leo siujui hata neno moja.
Heheheeee mi napenda mziki mzuri wa Rama Dee hayo majina mengine ya wasanii sifatilii sana coz yatanichanganya tu
 
Yani ananikera huyu dogo kurooka..uyadhani ye
Kumbe wengi wamelinote hili suala. Yani dogo huwa ananikeraaaaa.....nadhani anasumbuliwa na inferiority complex.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…