Harmonize Huu ni muda wa kuungana Na Clouds (CMG),Utafika mbali Bro.

Mawingu yenyewe inapambana kujinusuru kuanguka.Ishapoteza mvuto kitaambo sasa wewe unataka wafu wakajizike labda
 
Hakuna kuungana na mtu awe independent tu afanye kazi na media zoote .
 


Yaani watanzania wamefika hatua kuandika kitu na kuweka taarifa kama ni ya kweli

1.Nini chanzo cha ugomvi wa WCB na GMC?

2. Ushindi wa diamond kwa Clouds kashibda kitu gani hasa? maana mmiliki wa WCB na Clouds ni huyo huyo mmoja!
3.Una uhakika clouds walimpambanisha Kiba na diamond? na una uhakika saa hizi clouds hawampi support Kiba? (ili isiwe imekaa kama kijiwe support with evidence)

4. Kwa nini mindset yako ni kumpambanisha harmonize na diamond? yaani hilo ndilo lengo kuu la wanamuziki?

5.kwanini usiwaze diamond, harmonize kushindana na akina davido? wizkind; kama na kama tu kwa akili yako muziki ni team
 
Atakuwa ameruka mkojo na kukanyaga mavi. Clouds ndio wezi wakubwa kuliko WCB. Wangapi wameliwa na kutupwa ndani ya clouds.
 
Kwa mafanikio aliyopata Harmonize mpaka sasa, unadhani ushauri wako huu utampandisha au kumshusha? huko unakomshauri kwenda kuomba ushirikiano atatumika then watamwacha. Muhimu ni kuwa na wanamziki wengi wa level ya Diamond.
 
1.Clouds walitaka kumuangusha diamond imeshindikana
2. Clouds walitaka Ally awe juu ya diamond imeshindikana
3. Clouds walitaka wcb na wasanii wake waanguke vibaya imeshindikana
4. Clouds walitaka wawe wanawatumikisha wasanii Wa wcb kwenye mafiesta yao imeshindikana
 
Kwa bongo hii hakuna wasanii wa kushindana na Davido na wizkid.
 
Usiongee hivo mkuu, usijekuwa kama ndugu yako Stive wa bongo movie kusema msanii fulani hatoweza kuimba tena....!!!
 
Una akili sana mkuu
 
Well said
 
Mimi nasema mwakani mda kama huu tutakuja na story nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…