University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Wasimpotoshe harmonize kuhama WCB atakufa kifo cha mende,Mashabiki ni vigeugeu huoni Ruby walivyokuwa wakimshangilia kutoka clouds leo kiko wapi hata mashabiki tumemsahau.ni kweli mkuu japo kashakua artist mkubwa ila lebel bado ina nguvu kwake
Runtown ana wimbo unaitwa Emotions. UtafuteHata nigeria napo ni hivyo hivyo kuna yule msanii alieimba mad over you alijitoa kwenye label akaanzisha yake sasa hivi hana hit anayoitoa
umenenaPale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.
Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.
Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
Man unaelekea hutaki kukoselewa manake kila aliyekukosoa, mara umuite Bi Sandra, mara umuite Tanasha!!!Sawa Tanasha
Hiyo ni habari ya mwaka 2013, nami kamkumbuka huyo Yahya alisema hayo wakati akihojiwa na EATV. Miaka 6 imepita lakini Diamond aliyesema alikuwa hapewi hata shows za 7 Million, leo hii hata kwa 20 million hapigi show! Na threads za kutabiri kuanguka kwa Diamond zipo hapa JF kwa miaka kadhaa sasa, lakini jamaa yupo pale pale!!!Mtu mmoja anayedai kuwa mganga aliyemtoa mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameibuka tena na kueleza kuwa Diamond Platinumz tayari ameanza kushuka kimuziki kama alivyosema awali.....
“Diamond alikuwa anapiga show kwa milioni 10 lakini sasa hivi hapewi hata show ya milioni 7. Nilizungumza kushuka sio kupanda na nashukuru kwa sababu rekodi ninayo. Nimeongea kushuka sio kupanda, wale walioko nyuma yake hivi sasa ndio wanaonekana kuongoza. Hata katika mambo yenu ya kumi bora za Tanzania yeye hayumo katika mbili.” Amesema Dr. Yahaya
Umesema vyema mkuu..Man unaelekea hutaki kukoselewa manake kila aliyekukosoa, mara umuite Bi Sandra, mara umuite Tanasha!!!
Kuna mtu kakwambia hizo habari za Diamond siku zake zimeisha, na mwenyewe umemuita majina ya kuchukiza! Man, penye kukosolewa kubali kukoselewa! Hebu soma hii habari: Hiyo ni habari ya mwaka 2013, nami kamkumbuka huyo Yahya alisema hayo wakati akihojiwa na EATV. Miaka 6 imepita lakini Diamond aliyesema alikuwa hapewi hata shows za 7 Million, leo hii hata kwa 20 million hapigi show! Na threads za kutabiri kuanguka kwa Diamond zipo hapa JF kwa miaka kadhaa sasa, lakini jamaa yupo pale pale!!!
Hata hivyo, nakubaliana na wewe kwamba Harmonize bila WCB sio Harmonize! Na akitaka asahaulike ndani ya mwaka 1, atoke WCB!
Binafsi, simkubali kabisa Harmonize! Namwelewa zaidi Rayvann ambae yupo unique kuliko Harmonize ambae ni clone ya Diamond! Almost anaiga kila kitu kutoka kwa Diamond!
Kwel kabisaUmesema vyema mkuu..
Bei ya mond kwa show kwa sasa, hakuna promoter wa bongo anayoiweza...
Yule jamaa ana team smart nyuma yake inayojua biashara na inayompa nguvu....naye si mchoyo, anaishi vizuri na team yake ndo maana wanafanya makubwa kila kukicha.
Kwa sasa ni superbrand, na kibrand hakuna msanii wa kulinganishwa naye hapa bongo.
Hujui WCB inafanyaje kazi na wasanii wakeHabari za mda huu wakuu
Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
Kweli MkuuWasimpotoshe harmonize kuhama WCB atakufa kifo cha mende,Mashabiki ni vigeugeu huoni Ruby walivyokuwa wakimshangilia kutoka clouds leo kiko wapi hata mashabiki tumemsahau.
Mashabiki tumejawa ukasumba mwingi.
Paragraph ya mwisho analysis yako naipa 100%, that Vannyboy is so creative, unique and talented.Man unaelekea hutaki kukoselewa manake kila aliyekukosoa, mara umuite Bi Sandra, mara umuite Tanasha!!!
Kuna mtu kakwambia hizo habari za Diamond siku zake zimeisha, na mwenyewe umemuita majina ya kuchukiza! Man, penye kukosolewa kubali kukoselewa! Hebu soma hii habari: Hiyo ni habari ya mwaka 2013, nami kamkumbuka huyo Yahya alisema hayo wakati akihojiwa na EATV. Miaka 6 imepita lakini Diamond aliyesema alikuwa hapewi hata shows za 7 Million, leo hii hata kwa 20 million hapigi show! Na threads za kutabiri kuanguka kwa Diamond zipo hapa JF kwa miaka kadhaa sasa, lakini jamaa yupo pale pale!!!
Hata hivyo, nakubaliana na wewe kwamba Harmonize bila WCB sio Harmonize! Na akitaka asahaulike ndani ya mwaka 1, atoke WCB!
Binafsi, simkubali kabisa Harmonize! Namwelewa zaidi Rayvann ambae yupo unique kuliko Harmonize ambae ni clone ya Diamond! Almost anaiga kila kitu kutoka kwa Diamond!
Nilikua nao huo wimbo ila nimeshaufuta maana sio mzuri kama mad over you, gimme love, for life, energy, walahi remix yani kwa kifupi jamaa keshapotea..Runtown ana wimbo unaitwa Emotions. Utafute
Hapana alikua kwenye label sijui inaitwaje akakorofishana na hio label pia hata producer wake wa awali alikorofishana nae ndo yamkuta ya kumkuta sasa hiviRuntown Saivi Sijui Kawaje? Me Nilijuaga Ana Lebel Yake Toka Kitambo
Hapana hata Davido wakati ule amemtoa Diamond ilionekana kama amepotea ili with time atakuja na nguvu mpya.Nilikua nao huo wimbo ila nimeshaufuta maana sio mzuri kama mad over you, gimme love, for life, energy, walahi remix yani kwa kifupi jamaa keshapotea..
Dah Nae Alizingua SasaHapana alikua kwenye label sijui inaitwaje akakorofishana na hio label pia hata producer wake wa awali alikorofishana nae ndo yamkuta ya kumkuta sasa hivi
Hizi stori nilizipata toka Nairaland wanaija wenyewe wanaona jamaa anazingua na ukisikiliza nyimbo zake za sasa hivi ni hakuna kituDah Nae Alizingua Sasa
Mpaka Producer Wamezinguana?
Jamaa Alikuwaga Anatrend Sana Huko Naija
Davido yupo fresh kuna nyimbo inaitwa Osanle niliidownload bahati mbaya nikaja kukuta ipo mwake hatari, labda sababu napenda miziki iwe inadunda kama sasa hivi nimeweka repeat kwenye ngoma ya G Nako - Kitonga...naimagine kama vile nipo kwenye BMW X5 na mabebizz kibao wamevaa swimming costumes pembeni na serengeti lite za moto...Hapana hata Davido wakati ule amemtoa Diamond ilionekana kama amepotea ili with time atakuja na nguvu mpya.
Duh Yaani Mpaka Ulivyokuja Kutukumbusha Kuhusu Yeye Ndo Tumemkumbuka! Tulikuwa TushamsahauHizi stori nilizipata toka Nairaland wanaija wenyewe wanaona jamaa anazingua na ukisikiliza nyimbo zake za sasa hivi ni hakuna kitu
Napendaga Nyimbo Zenye Bass Nzito Sio Soft. Ebu Nitajie Unazozijua Nzitafute MkuuDavido yupo fresh kuna nyimbo inaitwa Osanle niliidownload bahati mbaya nikaja kukuta ipo mwake hatari, labda sababu napenda miziki iwe inadunda kama sasa hivi nimeweka repeat kwenye ngoma ya G Nako - Kitonga...naimagine kama vile nipo kwenye BMW X5 na mabebizz kibao wamevaa swimming costumes pembeni na serengeti lite za moto...
Ngoja nikuwekee screenshots uzishushe anza na hio inaitwa Iscathulo -Busiswa ingine inaitwa Sdudla - Winnie Khumalo aisee biti nzito kinoma halafu raha sana kusikiliza nyimbo zingine zinamabiti ya south afrikaNapendaga Nyimbo Zenye Bass Nzito Sio Soft. Ebu Nitajie Unazozijua Nzitafute Mkuu