Harmonize in WCB

Acha uboya wew kuna vitu harmonize anafanya ata boss wake hajawahi fanya sasa dogo kawa mkubwa and Kate dharau za Yule senge sallam sasa hivi Harmonize namheshimu diamond tu na iko iko kivyake tu sasa haambiw cha kufanya wala hapangiwe wala kushindikizwa kama rayvan na wengine harmonize sasa kakuwa hataki kuburuzwa kisengesenge
 
An empty big water Mellon headed ..

Hiyo WCB naijua kisebureni mpuuzi wewe.. Wewe kama unawaona WCB kwenye Insta sisi tunawaona kiofisi ..
HAKYA MUNGU HARMONIZE AKICHOMOKA WCB NAMPA MIEZI SITA HATA UKUMBI WA BAR HAWEZ KUFURIKISHA BELIEVE ME DOGO ANAMHESHIMU SANA DIAMOND...
 
Kweli harmonize anakopy kila kitu kwa diamond ndo anachoweza kingine
 
Mkuu umezinunua wapi?
 
Achana na huyo chizi .. Tunaojua yanayoendelea wcb tunashangaa wanao mu- underrate harmonize...


Nimeliambia hapa kwa pale wcb ni harmonize peke yake ndio msanii pekee Mwenye returns kwa investment yake .. Wengine wote their returns are either equal or less to the investment ..


Wanachukulia poa ,
 
Habari za mda huu wakuu

Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
Team work... Hata vidole havifanani lakini kila kimoja kina kazi yake
 
Rayvanny nyimbo zake zina mistral ya kitoto sana ndo maana havumi.
Mbona Rayvan ndio anaimba mistar ya kiutuuzima kuliko hao akina harmonize na domo nyimbo nzima utasikia kanyaga kanyaga,inama inama,tetema tetema,kiukwel hata sioni kinachoimbwa Mimi mwenzenu.
 
Kama kucopy ni simple copy na wewe ufikie level za harmonize .
Sina talent ya kuimba..harmoniz na diamond wote wametoka ufukaran wanjua ubaya wa umaskini hawatakuja kuzinguana hata mara moja wanasaka dolaleeee sikiliza video hiii
 

Attachments

  • Hili Ndio Jibu la @diamondplatnumz Akielezea Kw nini Katika List ya Wasanii Wali ( 421 X 750 ).mp4
    3.3 MB
nakataa
 
ukweli mchungu rayvan hawezi kutoa hitsong bila kushirikiana na diamond akitia ni uchafu kama ile ya duka la vipodozi
lakini harmonize anaweza kusimama MWENYEWE na kutoa hitsong
 
Paragraph ya mwisho analysis yako naipa 100%, that Vannyboy is so creative, unique and talented.
Harmonise ni Diamond clone, copy and paste kwenye kila kitu.
kiuandishi harmonize is much better than rayvan
 
rayvan anabebwa na Diamond tu
 
sijui unapiga bangi ya wapi?
 
uzamani umekujaa tunaongelea harmonize unaongelea uchafu juma nature.?
 
Mbona Rayvan ndio anaimba mistar ya kiutuuzima kuliko hao akina harmonize na domo nyimbo nzima utasikia kanyaga kanyaga,inama inama,tetema tetema,kiukwel hata sioni kinachoimbwa Mimi mwenzenu.
wewe kasikilize ile nyimbo anayoimba usenge niwe duka la vipodozi sjui toka hapa nikaona rayvan Hana tofauti na rafiki yake dudu baya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…