Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Alifikia wapi
 
Nimeweka ushahidi chini,hapo nilimtoa akili kabisa japo sina uhakika kama akili anayo .

Hili ni kosa kubwa sana kwa sheria za kiislamu kwani binadamu ana haki ya kumsujidia Mwenyezi Mungu tu.View attachment 2272115

Sub hanallah!

Hivi kweli unawezaje kumsujudia binadam mwenzio badala ya Mwenyezi Mungu (S.W) Na hili la kuritadi hivi nikweli sheikh?
 
Sub hanallah!

Hivi kweli unawezaje kumsujudia binadam mwenzio badala ya Mwenyezi Mungu (S.W) Na hili la kuritadi hivi nikweli sheikh?
Mbona umenitwanga dislike Sheikh ?

Kuritadi mwenyewe hajathibitisha bado ni maneno ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…