Hata huku yanawezekana ila ulimbukeni na kufuata mkumbo ndio imekuwa priorityWasanii wanadai ni vizuri wao kuongeza mapambo na nakshi ili waonekane tofauti na watu wengine
Michael Jackson alikua mwanamziki genius,ni mwanamziki aliyekua anafanya kazi kwa mahaba makubwa sana,
Hakuna mwanamziki ambae havuti bangi...hakuna. Labda wa injili. Bangi inaongeza creativityKijana anakula bangi huyu kama chakula
Pesa si shetwani na haijawahi kuwa shetwani. Tunajenga misikiti na makanisa kwa kutumia pesa. Sadaka na misaada mingine kwa wasiojiweza tunatoa pesa zenyewe au vitu vilivyonunuliwa kwa pesa. Pesa ni nyenzo (medium of exchange) inayotumiwa na mtumiaji kupata kile anachohitaji.JE ALICHOKIFANYA HARMONIZE NI SAHIHI?
Msanii Harmonize Kupitia Kionjo cha Wimbo wake Mpya Dunia Ameimba kuwa Anaamini Mungu yupo na Anajua hata akitaka kumchukua Sasa Hivi anamchukua Lakini Anataka Kujua Kwanini Mungu aliweka kila Vitu Vizuri Viwe Ni vya Kishetani
Domo mbona hapigi?Hakuna mwanamziki ambae havuti bangi...hakuna. Labda wa injili. Bangi inaongeza creativity
Domo mbona hapigi?
Fuatilia historia ya Shetani utagundua kuwa nguvu zake sio za kitoto, kama alimpiga Yesu mtoto wa Mungu je atamshindwaje binadamuHarmonize kaongea ukweli mchungu Sana, Kwa haraka haraka huwez kumwelewa duniani ukishaanza kuwa maarufu Tu, wazee wa kazi wanakufata, ukitaka kumantain status inabd ukubaliane nao.
Jamaa anauliza why kama Mungu yupo na anaruhusu hawa jamaa kuwa na nguvu Kiasi hicho, ni kilio kikubwa Bahati mbaya ukiingia sio rahisi kuchomoka ....!!! Kondeboy mtu mbadi yupo under hot supu.